Blogger Widgets

March 3, 2013

Mchekeshaji na Gwiji la Lugha ya Kimasai "MASAI NYOTAMBOFU" akiwa ndani ya Interview Kali

Dj Chopazon akiwekiweka mambo sawa kabla ya kufanya Intervew na (Masai Nyotambofu)
Mchekeshaji maarufu Tanzania.
Hapa mambo ndio yalianza kama kawaida katika kipindi cha ''The Super Star Show'' Ndani ya
studio za 100.6 Breez fm Tanga mjini.
DJ Chopazon ni miongoni mwa madj wakali wanaofanya vizuri katika Radio hii.

Gilliady Severine
( Masai Nyotambofu ) Mchekeshaji kutoka Al-Riyamy Production anaetamba katika tasnia ya uchekeshaji kutoka kundi la BONGO SUPER STAR'S COMEDY wanaorusha kipindi chao cha VITUKO SHOW katika runinga ya CHARNEL TEN kipindi ambacho sasahivi ni gumzo hapa nchini, Leo saa nane
mchana alifanya mahojiano na Radio Breez ndani ya Tanga.
Msanii huyu alizungumzia maisha yake kwa ujumla pamoja na kazi zake kwa ujumla pia alizungumzia
kilichomvutia kuingia kwenye fani ya uchekeshaji pamoja na muziki wa kizazi kipya. Si haya tu alisema mengi tofauti
za mafanikio ya muziki na maigizo.
Mkali wa lafudhi ya kabila la wamasai anaesumbua barani Africa.. The king of maasai sheng.
(Kushoto..akiwa na DJ Chopazon Kulia wakiwa kwanye pozi baada ya Intervew.