Diamond Ajaribu Kujitetea Baada ya Kuchapia Kingereza Kupitia Kwenye Mtandao wa Instagram
Wabongo kwa kukosoa hawajambo.. Katika pitapita yangu instagram kuna
picha mkali Diamond Platnumz alipost (hiyo hapo juu), na hapo wakatokea
watu kukosoa kingereza alichotumia huku wengine wakionekana kutetea.
JAMANI ENGLISH si Lugha yetu jamani. angalia hapa chini watu walivyokua
wakicomment