Akiwa
hajamaliza wiki mbili toka atoke kwenye tour,Sasa leo kupitia katika
ukurasa wake wa instagram aliweza ku post hii picha huku pembeni akiwa
mtu mwenye asili ya Asia ambaye ni promoter hata hivyo diamond aliweza
kupost nyingine huku akisema #After I did the
Uk,Congo,Burundi,......gue ss where next i ll be headed"
DONE DEAL!!!.... #COMORO! #COMORO! #COMORO! 22nd/June/2013... on Ma way Darlin #Wasafi.
Baada ya kumaliza kusaini mkataba wake aliweza kupost hii picha ya
pili...(Mkataba)
DONE DEAL!!!.... #COMORO! #COMORO! #COMORO! 22nd/June/2013... on Ma way Darlin #Wasafi.
Baada ya kumaliza kusaini mkataba wake aliweza kupost hii picha ya
pili...(Mkataba)
From: DJ Fetty
No comments:
Post a Comment