Mzungu huyo akiwa dada zake Albet kutoka kuliani ni Anna Keneth Mangweha,Magreth Keneth Mangweha na Neema Keneth Mangweha
Marafiki wa marehemu Albet Mangweha wakiwa kwenye picha ya pamoja na Shemeji yao
MAJONZI na vilio vilitawala juzi katika zoezi la kuuaga mwili wa
marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’ kwenye Viwanja vya Leaders lakini mmoja
wa waliotia fora katika kuangua kilio alikuwa dada mmoja mzungu
anayedaiwa kuwa alikuwa Mpenzi wa Ngwea aitwaye Misheily.
Mzungu huyo alionekana akilia kwa uchungu huku akitoa maneno
yaliyoashiria kuwa ameumia sana kuondokewa na ‘mtu’ wake huyo ambaye
huenda walikuwa na malengo mazuri ya baadaye.
Aidha, kilio alichokuwa akiporomosha binti huyo kiliwafanya watu
waliokuwa karibu naye kumsikitikia na kuzidishiwa majonzi kwani ilifika
wakati akaishiwa nguvu.
Mwandishi wetu alijaribu kumfuata na kumuomba kuzungumzia juu ya kifo
cha Ngwea lakini alikataa na kusema asingeweza kufanya hivyo kufuatia
majonzi aliyokuwanayo huku akionekana kutoamini kama jamaa yake huyo
ametutoka
Mcumba
wa marehemu Albet Maangeha Bi, Michelle Looise Hancock raia wa
Uingereza akiweka shada la maua kwenye kaburi la mpendwa mchumba wake.
jana
No comments:
Post a Comment