Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa
Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake
hakijajulikana na siku kadhaa kabla ya kifo, Ngwea
alifanya video ya wimbo alioshirikishwa na msanii Mtanzania anaeishi
Afrika Kusini aitwae Mossred.
Hizi video hapa chini ni sehemu ya utengenezwaji wa hiyo video ambayo bado haijatoka….. ilifanyika Kimberley
From:Millard
No comments:
Post a Comment