T.I.D mkali wa long time kwenye bongoflava tangu enzi za Zeze, Siamini
hadi leo hii na Kiuno na bado anamiliki headlines, wiki kadhaa
zilizopita baada ya kumaliza msiba wa mshikaji wake Mangwea, alisafiri
kwenda U.K kufanya show ambako huko pia ndio alifanya interview
inayozungumziwa sana hivi sasa kwenye mitandao pale alipokiri hadharani
kwamba huwa anavuta bangi, zifuatazo ni pichaz za jinsi Mzee mnyama
T.I.D akiwa kwenye mitaa mbalimbali ya U.K
No comments:
Post a Comment