Kwa wasiomjua, anaitwa Yvone Nwosu, Mwanamitindo kutoka nchini Nigeria, ambaye juzi tarehe 8 August alikuwa ana adhimisha kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa, hivyo kuamua kuwatupia Follers wake picha hizo ambazo wenyewe wanaziita "Kinky"
Tukio hilo lilimfanya kuongeza idadi ya washabiki wanaomfuata na kufikia 7,000. Angalia Picha zaidi hapo chini.
No comments:
Post a Comment