Rashid Makwilo ‘Chid Benz’. |
Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, Kassim alichukizwa na kauli hiyo na kumvaa Chid Benz huku akitoa matusi mazito na kuwataka watu waliokuwa karibu kuwaachia ili wachapane.
Hata hivyo, watu walioshuhudia tukio hilo waliwazuia wasipigane licha ya kwamba walishikana mashati huku kila mmoja akimrushia mwenzake maneno makali.
No comments:
Post a Comment