Blogger Widgets

October 27, 2013

Hii Haikuwa Tour ya Fiesta wala Kili Music Tour



Hii Ilikuwa ni Safari ya Abuu as CEO,Director and Admin as Other Admins of folclassic.com Kutoka Chuo St Joseph  College Of Information Technology Baada ya Kumaliza Semister  ya Sita (Mwaka wa Tatu) na Kurudi Dar Kujiandaa na Semister ya Saba( Mwaka wa Nne)Ambao utakuwa Mwezi unaofuata , mwisho wa mwezi wa kumi na Moja
Tunamshuru Mungu Safari Ilikuwa Salama salimini And Tukafika Ubungo saa Moja
Sasa ni Project Baada ya Proect kwa sababu ni “PROJECT”

 Hapa Saa Kumi Na Moja Asubuhi Abuu Alishalifika Stend ya Mbeya Express
 
 Ni Muda wa Kulisogelea Basi la Mbeya Express to Daslam
 Tulikuwa As #Team Folclassic Hapa Nipo na Kigula na yeye ni Mshakaji wangu na Mwanachuo 
Nipo na Shekhe Wangu Salumu Ally..Respect to Him
Abuu,Dav na Jakson Kigula Mida ya Saa 11:30 alfajiri



Abuu anajaribu Kuturn oN SwaGG
 

Bad naMjukuu wa Babu
Mida ya Saa 11:45 Wanachuo wapo Haapy na Kujiandaa Kuondoka
Bad In The Buliding along the side Abuu The Prince
Sielewiiiiiiiiiiiii
Noma Sana With Nancy Moja ya Wanachuo wa Chuo cha SAUT waliokuja Kutusindikiza:NOMA SANA
                         
Naona Mh. Salumu na Bady Kwa Mbali wakichat na Watu na Kuwaambia Mwaka wa Tatu is Over We are Waiting kwa Mwaka wa Nne

Huyu Ndio Erick Msisiri wa Msisiri kutoka Kamata Kamata
Abuu alishawahi seat Yake Mapema D1

 


No comments:

Post a Comment