Hii Ilikuwa ni Safari ya Abuu as CEO,Director and Admin as
Other Admins of folclassic.com Kutoka Chuo St Joseph College Of Information Technology Baada ya
Kumaliza Semister ya Sita (Mwaka wa
Tatu) na Kurudi Dar Kujiandaa na Semister ya Saba( Mwaka wa Nne)Ambao utakuwa Mwezi
unaofuata , mwisho wa mwezi wa kumi na Moja
Tunamshuru Mungu Safari Ilikuwa Salama salimini And Tukafika
Ubungo saa Moja
Sasa ni Project Baada ya Proect kwa sababu ni “PROJECT”
Hapa Saa Kumi Na Moja Asubuhi Abuu Alishalifika Stend ya Mbeya Express
Ni Muda wa Kulisogelea Basi la Mbeya Express to Daslam
Tulikuwa As #Team Folclassic Hapa Nipo na Kigula na yeye ni Mshakaji wangu na Mwanachuo
Nipo na Shekhe Wangu Salumu Ally..Respect to Him
Abuu,Dav na Jakson Kigula Mida ya Saa 11:30 alfajiri
Abuu anajaribu Kuturn oN SwaGG
Bad naMjukuu wa Babu
Mida ya Saa 11:45 Wanachuo wapo Haapy na Kujiandaa Kuondoka
Bad In The Buliding along the side Abuu The Prince
Sielewiiiiiiiiiiiii
Noma Sana With Nancy Moja ya Wanachuo wa Chuo cha SAUT waliokuja Kutusindikiza:NOMA SANA
Naona Mh. Salumu na Bady Kwa Mbali wakichat na Watu na Kuwaambia Mwaka wa Tatu is Over We are Waiting kwa Mwaka wa Nne
Huyu Ndio Erick Msisiri wa Msisiri kutoka Kamata Kamata
Abuu alishawahi seat Yake Mapema D1
No comments:
Post a Comment