Msanii wa Jamaica, Alaine akitumbuiza
Hata hivyo Mohombi na Davido pamoja na wasanii wengine wa nyumbani akiwemo Diamond, hawakuweza kutumbuiza kutokana na kutokea tatizo kwenye moja ya jenereta iliyokuwa ikizalisha umeme. Kutokana na tatizo hilo, Davido, Mohombi, Diamond Platnumz na wasanii wengine ambao hawakutumbuiza kutokana na tatizo hilo, leo saa 9 mchana hadi saa 12 watatumbuiza Leaders Club bure.
Ali Nipishe
B12 akisherehesha
Cassim
Christian Bella
Dj Fetty
Msanii wa Nigeria, Iyanya akiwa jukwaani
Joh Makini
Juma Nature
KR Mulla
Linah na Amini
Linah na dancers wake walioingia na miamvuli
Linex
Mabeste
Mashabiki wakifurahia show
Menina
Mirror
Mr Blue
Mrembo akifurahia burudani
Neylee
Nikki wa Pili
Peter Msechu
Recho
Show imenoga
Stamina
Walter Chilambo
Young D
From:Bongo5
No comments:
Post a Comment