Kwa
muda mrefu drama kuhusu warembo wanaomzunguka Rapcellency Prezzo
zimepungua kwa kiasi kikubwa. Bila shaka unakumbuka kipindi kile penzi
lake na mtangazaji wa Clouds FM, Loveness Diva lilivyokorea kiasi cha
mrembo huyo kujichora tattoo yenye jina la rapper huyo.
Prezzo akiwa na mpenzi wake mpya
Uhusiano huo ukazusha beef kati yake na aliyekuwa mmoja wa
wawakilishi wa Big Brother Africa mwaka huu, Huddah Monroe lililopelekea
vita vya maneno kwenye Twitter kati ya warembo hao. Na sasa Prezzo
amepata mrembo mpya. Anaitwa Starlisha Tillya aka Chagga Barbie. Ni
mchaga na anaishi nchini Marekani. Ni binamu yake yake na marehemu
Vivian Tillya.
Kwenye profile yake ya Instagram, mrembo huyo ameandika: Am His
First Lady My Life My Choices…My Ways, My Mistakes My Lessons Not Ur
Business!!!Team #Rapcellecy #254 #LimitedEditionChic #FirstLady #Prestar
#CatMummy
Kitu kimoja wanafanana hawa wawili. Wote wana mkwanja
Picha zaidi za mrembo huyo
No comments:
Post a Comment