Hahaha Diamond kanichekesha sana leo. Baada ya kuandamwa na mafashion
police kutoka kila pande pamoja na mashabiki wake kuhusu suruali yake
aliyo vaa kwenye harusi ya P-Square (pichani), leo hii ameitinga tena na
kurusha picha Instagram akiambatanisha na kadua ili watu wasimchambe.
No comments:
Post a Comment