Kweli kabisa kuna mambo Kama ni wasanii wanaigana katika
njia yakujipatia umaarufu especially Kama kila unapojaribu kufanya
haya-turn out mazuri ni bora kuachana nayo kabisa,hapa tunaongelea hili
la u-playboy au kwa maana nyingine ni kule kujaribu ku-date na ma-star
wenzao ili tu kutafuta headlines kwenye magazeti ya sehemu mbalimbali
sometimes kweli si ishu.
Hivi karibuni kwa kipindi cha muda mfupi tumeona jinsi msanii huyu
PREZZO akiendelea kupata lawama na message mbalimbali kwenye mitandao
yakijamii kutoka kwa wapenzi wake pale tu wanapoachana,hii imekuwa
inamtengenezea sura mbaya kWa mashabiki wake na hata kupoteza baadhi ya
mashabiki kWa vitendo hivi.
Kusema kweli Kama alikuwa anamuiga Diamond platnumz kutokana na story
zake za ku-date na stars mbalimbali,habari zinazopewa headlines hadi
kwenye magazeti ya nchi nyingine nje ya Bongo na hata akiachana na demu
wake hauwezi kuona wanatukanana kwenye social media. Diamond anaonekana
ni mtu anayemuheshimu mwanamke na katika interview zake amekua
akizungumzia swala hilo na hata celebrities aliyowahi kutoka nao
wamesema hivyo pia , hiki ndicho kitu ambacho prezzo amekosa.
Basi inabidi kujipanga upya,cause so far kila manzi anaye date naye
imeonekana kum-diss msanii huyu tena hadharani wanapoachana,wakiwemo
Hudda Monroe kutoka Kenya na m-tz mmoja maarufu Kama chaggaBarbie aishie
huko marekani.
Katika harakati hizi za kujipatia umaarufu zaidi hasa kupitia hobbie
nyingine ambazo ni haramu Kama hizi ni vizuri Kama mtu atakuwa mpole na
kuandokana na hizi hali za kukurupuka ku-date na kila msanii maarafu
ilimradi tu nae ajione kama beyonce na jay-z.
No comments:
Post a Comment