Katika mechi ya kikapu
leo kati ya team Adam Juma na team Karabani kulikuwa na vitu vingi
vizuri sana moja wapo ilikuwa ni hili, baada ya mechi kuisha na team ya
Adam Juma kuondoka na ushindi watu wengi walikuwa na furaha sana moja
wapo ni hili la Director Nisher alipotoka sehemu alipokuwa akitizama
mechi hii na kwenda hadi katikati ya uwanja na kumfuata Director Adam
Juma na kumpongeza kwa kile kilichofanyika na kuzungumza mambo mengine
na kuacha tofauti zile zilizotokea na hadi watu kujua kuwa kuna BEEF la
chini chini linaendelea.
Dj Choka Alisema nimefurahi sasa mimi
kama DJ CHOKA na vitu kama hivi vinatakiwa viwe poa kwasababu hawa ndio
wanaopeperusha bendera yetu mbali kwenye upande wa video za wasanii wa
kibongo so tofauti zinapotokea haina budi kuzimaliza. One
From:djchokamusic.com
No comments:
Post a Comment