Kijana
ambae jina lake halija famika mpaka sasa,aneishi mwananyamala dar es
salaam anae semekana kuwa ni mwanafunzi ambae alimaliza kidato cha nne
mwaka jana yan elfu 2013 alikutwa amejichoma kisu shingoni na
kuwahishwa hospital ,huku chanzo kikisemekana kuwa ni matokeo yako ya kidato cha nne,matokeo yake hayakuwa mazuri maana amefeli kwa Maksi Mbaya |
No comments:
Post a Comment