Tazama Picha za Jamaa wawili ambao walikuwa wafungwa wakiwa na Jagual Baada ya Kutolewa Dhamana na Msanii Jagual Baada ya Kushoot Video ya Kioo akiwa Gerezani
Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya, Jaguar awalipia dhamana wafungwa
wawili mara baada ya kumaliza kufanya nao kazi ya kurekodi video yake ya
wimbo unaojulikana kwa jina la Kioo
No comments:
Post a Comment