|
Diamond
aka Platinum akiwapagawisha watanzania wapenzi wa music wake, Diamond
aliimba nyimbo zake zote za zamani na mpya ambazo hata hazijaanza
kusikilizwa katika radio stations za Tanzania hapa akiimba kwa hisia
moja ya nyimbo zake ukumbini hapo. |
Hapa alivyo kuwa bado na vazi lake nazifu kabla ya mzuka kupanda na kutoa nguo hizo za juu.
|
Diamond
kwa kushirikiana madancer wake walifanya show ya kuvutia sana na watu
wote walifurahi na wangekuwa na uwezo wangetaka show hiyo kuendelea hadi
asubuhi lakini wapi muda ukivyofika watu walijivuta kwa unyoge kwani
waliona kama walikatizwa uhondo wakuendelea kupata burudani kutoka kwa
Diamond na madancer wake. |
Diamond akiimba kwa hisia na nyuma ni madancer wake
Walionyesha
miondoko ya kiusafi usafi kama Diomond mwenyewe anavyojiita yeye
ni rais wa wasafi kwa kweli walikuwa kivutio ukumbini hapo.
|
Watu wakifatilia kwa makini kabisa show ya Diamond ukumbuni hapo kama unavyo ona | |
|
No comments:
Post a Comment