Blogger Widgets

October 7, 2012

Hili Ndio Tukio Zima la Fiesta Kuanzia Mwanzo Mpaka Rick Ross anapanda Steji(Jukwaaani



Click “Jion This Site” uwe MEMBER of FOL CLASSIC



  Mkali mwingine wa miduara AT na madansa 

wake wakilishambulia jukwaa.

  Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka THT,akiimba 

jukwaani na shabiki wake.
 Mashabiki wakitaka kuangusha uzio uliowekwa 
 kwa ajili ya usalama.

   Baadhi ya Askari wakijaribu kuweka usalama wa kutosha 
kwa Mwanamuziki Rick Ross
 imara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Lidaz Club,
 kwa ajili ya kutumbuiza kwenye
tamasha la Serengeti Fiesta 201.
  Viwanja vya Lidaz palikuwa hapatoshi hata kidogo.

 yeye akikamua stejini.
Watu kibao wakiwa ndani ya viwanja vya lidaz club usiku huu.


Msanii wa miondoko ya rusha rohoo a.k.a Miduara,Shilole 
 akijiachia jukwaani vilivyo na
madansa wake usiku huu mbele ya umati mkubwa u
 liofika kwenye viwanja vya Lidaz
Club,katika kuhitimisha kilele cha tamasha la Serengeti Fiesta 2012.
 Sehemu ya umati watu waliojitokeza kila kona jiji la Dar na kwingineko 
 kuwashuhudia wasanii mbalimbali
wakitumbuiza kwenye jukwaa la tamasha la 
 Serengeti Fiesta 2012,akiwemo Mwanamuziki wa kimataifa
kutoka nchini Marekani,Rick Ross.
 Wasanii wa kundi la Wanaume TMK,likiongozwa
  na Mh Themba sambamba na Chege
Chigunda wakilishambulia jukwaa v
 ilivyo usiku huu kwenye tamasha la Serengeti Fiesta
2012,linaloendelea hivi sasa katika 
 viwanja vya Lidaz Club,Kinondoni jijini Dar.uwanja wa
Lidaz Club hapatoshi kabisa usiku huu.
 Nyomi la Watu ile balaa usiku huu.

Wasanii wa kikundi cha Makomando kutoka THT 
 wakionesha umahiri wao wa kucheza
jukwaa.
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Dyana pichani a
kionesha mbwembewe zake kabla ya 
kukamata kipaza sauti,mbele ya umati mkubwa 
 uliojitokeza kwa wingi usiku huu ndani ya
viwanja vya Lidaz Club,Kinondoni jijini Dar
 Msaniii mahiri wa kizazi kipya,Barnaba Boya kiimba
  jukwaani huku Dyana na skwadi lake
wakionesha mbwembwe zao kama kawa.



 
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Barnaba Boy 
 akiimba jukwaani usiku huu
 Mmoja wa wshindi wa shindano la Serengeti S
 upa Nyota 2012,Youk Killer akishusha
mistari yake nguvi usiku huu,huku shangwe na vigele vigele 
vikiwa vimetawala.
Mashabiki wakishangweka usiku huu vilivyo
 Mmoja wa washindi wa shindano la Serengeti 

Supa Nyota 2012,Jo Maker akifloo jukwaani. .

 Baadhi ya mashabiki wakijiachia vilivyo usiku 2012
 huu ndani ya tamasha la Serengeti Fiesta

Mmoja wa wshindi wa shindano la Serengeti Supa Nyota 2012,NeyLee akiimba jukwaani .

 Baadhi ya wasanii kutoka nyumba ya vipaji THT
 wakiamsha amsha usiku huu wakati
 tamasha la Serengeti Fiesta 2012 likiendelea huku mashabiki 
 na wapenzi wa tamasha hilo
wakiendelea kumiminika usiku huu ndani ya
  viwanja vya Lidaz Club,jijini Dar.
 Mmoja wa wasanii chipukizi kutoka kwa THT,
akiimba kwa hisia mbele ya umati mkubwa 
wa watu (haupo pichani),uliojitokeza kushuhudia 
 wasanii wa hapa nyumbani na nje
wakitumbuiza katika jukwaa moja usiku huu.

 Mmoja wa wasanii chipukizi akinogesha jukwaa 

la Serengeti Fiesta 2012 usiku huu



 The Wacko Jako wa bongo akifanya vitu vyake jukwaani usiku huu

 Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar na vitongoji vyake wakiwa 
 tayari ndani ya viwanja vya Lidaz
Club,Kinondoni jijini Dar usiku huu wakati wa 
 tamasha la Serengeti Fiesta likiendelea
kurindima,huku wakimsubiri kwa hamu 
 mwanamuziki wa Kimataifa kutoka nchini
Marekani,Rick Ross ambaye anatarajia kukamua usikuu huu.
Wasanii wa kikundi cha Makomando kutoka THT wakionesha 
 umahiri wao wa kucheza
jukwaa.




 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Dyana pichani 
 akionesha mbwembewe zake kabla ya
 uliojitokeza kwa wingi usiku huu ndani ya
kukamata kipaza sauti,mbele ya umati mkubwa viwanja vya Lidaz 
 Club,Kinondoni jijini
Dar
 Msaniii mahiri wa kizazi kipya,Barnaba Boya kiimba j
 ukwaani huku Dyana na skwadi lake
wakionesha mbwembwe zao kama kawa.

.














 
 


 
  Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Rick Ross akiimba 
jukwaani  usiku huu mbele ya
 maelfu ya wakazi wa jiji la Dar na vitongoji vyake kwenye viwanja
vya Lidaz Club,wakati 
wa tamasha la Serengeti Fiesta likirindima.

No comments:

Post a Comment