Picha Mbalimbali ya Nyumba atayohamia Msanii Trey Songz kodi ni Tshs milioni 56 kwa mwezi
Hii
ni nyumba ambayo Trey Songz anahamia, huko Hollywood. Anatarajia
kuhamia April 1. Ni nyumba iliyopo kwenye eneo la 13,000 sq. ft. ikiwa
jirani kabisa na nyumba anayoishi Ne-Yo na ambayo hata hivyo sio yake
bali amepanga tu na atakuwa akilipa dola 35,000 kwa mwezi sawa na kama
shilingi milioni 56 za kitanzania.
Ina vyumba 10, mabafu 12, movie theater, gym na lift. Zitazame picha zenyewe.