Huyu ndo ndo Bwana Mkubwa Willie Knuckles aliyekuwa waziri wa mambo
ya rais(Minister of Presidential Affairs) huko Liberia ambaye
alilazimika kujiuzulu baada ya picha zake zilizokuwa zikimwonyesha
akifanya tendo la ngono na wanawake wawili kusambazwa kwenye mtandao.
Kwakweli
bado haijaeleweka hasa walioamua kumsambaza mtandaoni walikuwa na lengo
gani naye zaidi ya kumdharirisha na kumfedhehesha namna hii.