Kupitia
season mpya ya Clouds Fm, ndani ya
so so fresh na fetty, Mh Halima Mdee
jana amefunguka
juu ya swali aliloulizwa kuhusu story zilizosambaa
kuwa
anashiriki mapenzi ya jinsia moja.
aah
unajua huwezi kuzuia watu kusema, na
mimi huwa sihangaiki na watu
wanasema nini,
lakini ukitaka kumjua Halima unaweza
ukamchunguza kirahisi sana, kwa kumuangalia
alipotoka, historia yake na mahusiano yake,
ambayo mengine ni wazi sana watu walikuwa wanayajua,
ukamchunguza kirahisi sana, kwa kumuangalia
alipotoka, historia yake na mahusiano yake,
ambayo mengine ni wazi sana watu walikuwa wanayajua,
watu
wanapenda ku speculate pale ambapo
wanaona kitu ambacho hawati kuona,
sasa hilo swala lilishaandikwa sana,
nadhani walioandika baadae wakaja
kuomba radhi kwasababu waligundua
wameandika kitu kisicho sahihi,
probably
kutokana na sauti yangu you know,
probably kutokana na tembea yangu, kwasababu
mimi nimekulia kwenye familia ya
wanaume watupu umeona eeh, mimi nimekuwa
ni mpambanaji tokea utotoni, kwasababu
nimezungukwa na jeshi la kibabe, thats who iam,
lakini mtu anaetaka kumjua Halima na ana
uhuru tu, hata akitaka niwatajie list ya watu
probably kutokana na tembea yangu, kwasababu
mimi nimekulia kwenye familia ya
wanaume watupu umeona eeh, mimi nimekuwa
ni mpambanaji tokea utotoni, kwasababu
nimezungukwa na jeshi la kibabe, thats who iam,
lakini mtu anaetaka kumjua Halima na ana
uhuru tu, hata akitaka niwatajie list ya watu
wangu i can do that,
lakini sidhani kama is their
damn business, cause ma life is personal,
na
wakitaka kuchunguza wachunguze kwa mpango
wao na watapata taarifa,
kwa uhuru tu, na
wanaweza wakatoa tangazo kwamba jamani
watu waliowahi
kuwa na uhusiano na huyu
if any wajitokeze, watajitokeza kama wapo
upande
huo, watajitokeza kwasababu sasa hivi si dunia huru bana
From:Gpl
No comments:
Post a Comment