Watu sita
mjini Nakuru Kenya wametiwa nguvuni baada ya kunaswa wakipiga
picha za uchi kwa ajili ya filamu yao ya ngono.....
Tukio
hili limetokea ikiwa ni siku chache tu baada ya kundi jingine
la warembo 11 kunaswa wakifanya mapenzi na mbwa huko Mombasa....
Habari
zinada kwamba, tukio hili la Nakuru lilinaswa na walinzi wa jengo
ambalo vijana hao walikuwa wakilitumia kushoot video yao
kinyemela.....
Wakiwa
katika doria ya kawaida, mlinzi mmoja alishangaa kuona nguo zikiwa
zimewekwa kando katika floor ya kwanza ya jengo hilo ambalo lipo
katika matengenezo...
Walipofanya
upekuzi, walifanikiwa kuwanasa vijana hao wakiwa katika hatua
ya kupigana picha uchi huku wakitomasana, wakinyonyana, na
maandalizi mengine ya tendo hilo.....
Baada ya kuwanasa, walinzi waliita polisi na warembo hao wakatiwa nguvuni....
Source:KenyanaDailypost
No comments:
Post a Comment