Picha za Utata za Model wa Kenya aliyeingia Kenye Skendo ya Kumgombania CMB PREZO na Loveness Love
This is a New photo
Hivi karibuni Huddah Monroe wa Kenya ametokea kupata mashabiki wengi
nchini Tanzania hasa kutokana na vita yake ya Jumapili iliyopita na Diva
juu ya Prezzo. Huddah aka Thee Boss Lady anajulikana kwa picha zake
nyingi za utata na maisha yake hayo controversial yamemfanya awe model
wa Kenya anayezungumzwa zaidi kwenye mtandao. Ingia ndani kuona picha za
utata za hivi karibuni za mlimbwende huyo. From:Bongo5
No comments:
Post a Comment