DADA mmoja ambaye jina lake halikuweza kujulukana mara moja aliuacha
hoi umati wa watu walikuwa kwenye baa moja hivi (jina kapuni) huko
mbagala Zakheim mara baada ya kuvua nguo zote na kubaki uchi wa mnyama
na hivyo kusababusha hali ya taharuki katika maeneo hayo.