Hili ni gazeti ama mfano wa
gazeti
"Hizi biashara za siku hizi mtu akipata laki mbili yake tu anaanzisha
gazeti mwisho kutakuwa na hata gazeti linaitwa Sintah khaa, ndio maana
watu wanawadharau waandishi hii ni kutokana na taaluma ndogo waliokuwa
nayo baadhi yao, sasa kwamfano hio story hapo juu inatufundisha nini
ati?
Sasa akirudi salama mtasema kahonga?? waandishi muwe mna maadili ya kazi
zenu sio kuropoka ropoka tu, watu wana wazazi ndugu jamaa na marafiki
wanao waheshimu hata kama mtu ndio kula yako basi andika ya ukweli,
kichwa cha habari kinaweza mfanya mtu azimie, kunyongwa si kazi ndogo
ujue??? serikali inatakiwa pia iwafungie magazeti kama haya
yanayojiandikia tu pasipo na msingi na maadili ya uandishi" Sintah
No comments:
Post a Comment