Nilimjua Nyawana mara ya kwanza alipokuja Times kwa ajili ya Interview na kutambulisha wimbo wake Niko kamili kwenye kipindi cha taarab Mitikisiko ya pwani.Alikuwa mchangamfu na mcheshi pia kwa hiyo kifo chake kama binadamu kimenishtua.
Marehemu Nyawana amefariki jana Mwananyamala hospitali alikokuwa kalazwa kwa Ugonjwa wa malaria. Msiba upo nyumbani kwake maeneo ya kwa Bi nyau na taarifa kutoka kwa marafiki zinasema atasafirishwa leo saa 11 jioni kwenda kuzikwa kwao Tabora.
No comments:
Post a Comment