Miss
Tanzania 2012 -2013 “Brigitte Alfred alijaribu kujitetea baada ya
kulalamikiwa na mbunge Bi. Rukia kwa madai eti hafai kutuwakilisha
Watanzania kisa Miss huyo kuongea kiswahili hawezi.
Maneno hayo hayakumfurahisha Miss Brigitte Alfred na kuamua kwenda kwenye mtandao wake wa Instagram na kusema
“Meanwhile as our county suffers from 3rd world problems this is what is being discussed bungeni
Brigitte
-babukubwa
No comments:
Post a Comment