Blogger Widgets

May 24, 2014

Hebu Tazama Amazing Pichures za Pre-wedding dinner ya Kanye West na Kim Kardashian iliyofanyika jana Paris, ndoa kufungwa leo (May 24) Italy

Jana Ijumaa (May 23) Kanye West na Kim Kardashian waliianza ratiba yao kuelekea siku ya harusi ya mwaka inayosubiriwa kwa hamu kubwa kwa kufanya ‘pre-wedding dinner party’ huko Paris, Ufaransa huku ndoa yenyewe ikitarajiwa kufungwa leo.
kimye1
Maharusi wakiongea mbele ya wageni waalikwa

Jana mitaa ya Paris ilishuhudia pilikapilika za wageni na mapaparazi wakielekea eneo ilipofanyika sherehe ya chakula cha jioni kabla ya ndoa (pre-wedding dinner), iliyohudhuriwa na wageni wanaokadiriwa kufikia 100 wakiwemo dada zake Kim, Kourtney, Khloe, Kylie, Kendall na mama yake Kris Jenner na wageni wengine mbalimbali.
kimye3
Kim na ndugu zake

Usiku huo ulipambwa na burudani mbalimbali ikiwa ni pamoja na mwimbaji aitwaye Lana Del Rey.
kimye2
Kwa mujibu wa ripoti, fataki zilitawala eneo la tukio, huku ikisemekana anga la eneo hilo siku ya jana lilikuwa ‘NO-FLY ZONE’, hakuna ndege yoyote iliyokatiza.
.
Chupa 1,000 za champagne ziliandaliwa kwaajili ya wageni waalikwa waliohudhuria.

Kwa mujibu wa Entertainment Tonight, maharusi watarajiwa Kimye waliwatangazia wageni waalikwa kuwa ndoa yao itafungwa siku inayofuata yaani leo Jumamosi (May 24) huko Italy.
kimye5
kimye6-kanye akilinda mali yake
Kanye akilinda mali yake

kimye7

kimye8
kimye4-watumbuizaji
Watumbuizaji

kimye9
kimye10
kimye11
kimye13
kimye14-kendall n khloe
Kendall na Khloe

kimye15
kimye16
kimye17
kimye18
kimye23
kimye22
kimye21
kimye20
kimye19
Source: Daily Mail

No comments:

Post a Comment