Blogger Widgets

May 5, 2014

Tazama Maajabu Mengine Yaliyoibuka Bada ya Diamond Platnum Kuchukua Tuzo saba za Kil Music Awards

Kutokana na Tuzo saba za Kili Music Award zilizofanyika Juzi ambazo Amepata Msanii Daimond Platnum Kutoka  Kundi wa Wasafi Baby. Sasa Maajabu Mapya yameikuka kutokana na Idadi ya Hizo Tuzo, kwani Idadi ya Tuzo Hizo Zimeendana Kabisa Na Idadi ya Maandishi ya vitu vilivyofanya achukue Tuzo Ikiwemo Jina Lake Pamoja na Nyimbo Zake
 Jina lake DIAMOND= Lina Herusi Saba sawa na Tuzo Saba alizopata
Nyimbo Yake NGOLOLO=Ina Herusi Saba sawa na Tuzo Saba alizopata
Au NUMBER 1=Ina Herusi Saba sawa na Tuzo Saba alizopata

TAZAMA PICHA ZIKITHIBITISHA MAAJABU HAYA YA DIAMOND PLATNUM
 1.Jina Lake Lenye Herufi saba sawa na Tuzo Alizopata
  

2.Nyimbo ya Ngololo yenye maandishi saba sawa na Tuzo Alizopata
 b

3.Jina Kamili ya Nyimbo Huyo Number1
 
 

Pia Tusisahau Hata Muandaaji wa Tuzo Hizo Bwana KAVISHE=maandishi Saba ni sawa Idadi ya Tuzo zake

No comments:

Post a Comment