Blogger Widgets

June 2, 2014

Tazam Picha zinazomake Headline za X-Girlfriend wake Davido

Huyu anaitwa Nish Kards, kutoka Ghana alikuwa mpenzi wa mwanamziki maarufu kutoka Nigeria, Davido, Kupitia ukurasa wake  INSTAGRAM, followers wake wamekuwa wakimfananisha na Kim Kardashian na kumuita The Ghana’s Kim Kardashian.....Hebu tumuone KOZ hata kajina  kiana kama la KIM..













No comments:

Post a Comment