MSANII mwenye jina kubwa katika tasnia ya filamu, Amanda Poshy amefungua page ya mashabiki wake facebook na kuitambulisha ndani ya account yake ya facebook siku ya jana.
Ni baada ya wadau wake wa karibu kumshauri kufungua page hiyo kwa manufa ya kazi zake kujitangaza zaidi ndani ya Tanzania na Mataifa mengine.
Chanzo chetu kiliongea nae na akasema kuwa "Amanda Poshy Fanpage" ni page yangu-Official katika Facebook kwa ajili yenu fan wangu wote...Fuata link hii kulike page yangu Amanda Poshy Fanpage www.facebook.com/pages/Amanda-Poshy-Fanpage/151837391643003