Guys, nimeikuta hii picha Facebook nasikia huyu dada ni mbongo, na akili
zake kabisa na yeye kajipiga picha eti anamfatisha Rihanna,
bhaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!! mbona awaendani!! Shepu kushnehi, DHIWA
Tanganyika mwee!! HATARI JAMAN,
guys, kugeza sio vibaya ila muangalie na miili yenu mkikaa uchi mnapendezaa!! hasa dah! hii picha mimi..
I'M SPEECHLESS KWAKWELI
We unaonaje kwani!??