Blogger Widgets

April 25, 2013

Check Picha Zilizozua Utata Leo za Elizabeth Michael a.k.a LULU na Peny(Mpenzi wa Diamond Platnum)

lulu mzuri jamani wee wacha tuuu
Chezeya Lulu weweee
lulu na dada yake kipenzi Penny wa D


Muonekano mpya wa hot Lulu babyyyyy 


kumbuka likija swala ya Lulu nasimamia mwenyewe show ya comment na itifaki inazingatiwa.

 
simpendelei ila tuwe tuna utu, huyu ni mtoto na katoka ktk matatizo please don traumatize her the more.

muacheni ajimwaye mwayee.
  1. Anonymous
    HOVYOOOOOOOOO PENNY WA D MY ASS!
    Reply
  2. Anonymous
    Tatizo c lulu. Tatizo ni huyo kahaba aliyenae. Tena ajiandae vzr kwa kalulu karemboa na diamond hakawii. So stay tune. Na tunajua huwo urafik na lulu c bure...
    Reply
  3. Anonymous
    Angetulia kwanza. Daah huyo peny nae teheteheeeeee hizi picha nimeziona instagram nimecheka sana.
    Reply
  4. Anonymous
    Penny lazima ajipendekeze kwa mtoto Lulu ili diamonda asimtongoze,chezea Diamond wewe
    Reply
  5. dada yako
    Acha kujipendekeza hadi kwa watoto wadogo wewe bibi mtu mzima mwenye mavuzi ya shaba usiokuwa na haya mwache mtoto wa watu usije ukambemenda...ilooooo ndio maana jokte na dida walikukimbia nyambafu wee unagundu, bania na hii ila utaisoma kimya kimya
    Reply
  6. Anonymous
    ulianza kujipendekeza kwa wema akakuchunia sasa umehamia kwa penny na lulu..nyooo huna rafiki weee utajiju alikwambia umuuzi Dida nani?? sasa iv mwenzio karudiana na mume wake utajuta mbona?? ushazeeka hata mtoto huna iasee kabebe mimba ya kile kizee chako
    Reply
  7. Anonymous
    haaa sinta kwa kujipendekeza hujambo
    Reply
  8. Anonymous
    hahhaaaa baby mama unataka awe best yako au?? mbona lulu alivyokuwa mahabusu hukuenda kumwona?? acha use@###e wewe kibibi
    Reply
  9. Anonymous
    hivi sinta rafiki yako nani?????
    Reply
  10. Anonymous
    Sintah for sure mwambie huyu mtoto akae mbali na BONITA atamuharibia dakika moja. Jana nilipita pale nje maeneo ya deMage hotel kwenye duka uchwara la BONITA, nkaona gr la Lulu na kuna gr lingine la mvulana fulani mtoto wa daaud kanyau aitwae POnchi. Nimejua tu nn kinaendelea mule ndan,.baada ya dk kadhaa Lulu alitkoka ndn ya duk Nawakaingia kwny gari la ponchi wakaongea humo then ponchi akaondoka. Plz, plz plz plz naomba awe makini ikibd akae mbali sana n BONITA. BONITA ni kuwadi mkubwa sana. Ilimradi yy apate pesa hajali mtoto wala mkubwa. Ntafatulia hii inshu nikupe zaid yalio jiri. I love lulu kipindi hiki awe makini
    Reply
  11. Peppino
    Birds of the same feather flock together,,,u know wat i mean ;)
    Reply
  12. Peppino
    Anarudi kule kule tu naona movie ndo inaanza ngoja nikae nile popcorn tu hapa,tena na mama D anahusika.aisee rizi kaa mbali saa hivi skendo zake zaja full full hata zile hela mnaendaga honga pale kwa shigongo story izuiliwe hamna kitu saa hv....mtoto lulu ANAWAKA KAMA LULU YENYEWE! !
    Reply
  13. Anonymous
    kweli ni kazuri kaambie katulie tu kama unakatetea
    Reply
  14. Anonymous
    mama mzungu siku hizi mapepo yake yanamtuma kuandika risala halafu anafuta anamuandama Diamond mama mzungu achana na biashara za watu ugomvi wa mapenzi kaa nao mbali wakipatana utaweka wapi uso wako fatilia mzungu wako ukanunue viagra akuridhishe ya Wema na Diaomond waachie wenyewe hayakuhusu bi shosti
    Reply
  15. Anonymous
    Lulu mzur hatukatai .But this week ni kwaa ajil ya M Kimavi Cc tuna wewe tu mpaka mwana ukome Umemchafua mwamy vya kutoshaa pls muAche unaanza kumtajataja tena Kwenye blog yako wa niƱo like Kwenye gazet lako la Jana unataka atukanwe tena na vibaraka wako, cc tunamuheshim boss wetu Voda Hana roho mbaya Kama wewe na wala akikusaidia akusimAngi Kama wewe Kimavi humpati mwamy hata kidogo economically educationally beutically come back 2Kiki unamuonea sana dada wawtu Mara matron wangu mbaya kanigombAnisha wewe umegombanisha wangapi mtu anagombana na mumewe itakuwa matron we vp? Mama yako mzazi mwenyewe uligombana nae na wala humthamin hata kumkumbukA hata Kama kafa wala kumtaja humtaji utaishia hivyohivyo Kila siku my mama dk Mwele.camon uliona wapi m2 anazaliwa na mama wa2 ? Ndio maana unachukiwa umemsahau mamako na humpendi uliona wapi m2 anamchukia mamake ? Tena mbaya zaid ni marehemu? Ushindwe na ulegee
    Reply
  16. Rosilicious
    Wenae km unatupiga mkwara namna hiyo bas ucwe unamuweka humuuu!!!mxiuuuu tulimstahi mwanzo ulivyomuweka tukajikaza tukauacha.leo tena unampost alf unatuzingua.ucmuweke humu naww unaanza kubore km wengine.ujinga huu sasa kutucomand km watoto wako.mxiiiuuuu strawberry beibi upooo???chaudere na pepino mewamisss!!!curious mic u
    Reply
  17. Anonymous
    PENNY AIBUUUUU KUMBE MUME ALIKUACHA AKAENDA KULA YA IRENE HAHAHAHAHAAHAH BADO UKO NAYE TU ?
    From:Sinta