Blogger Widgets

May 20, 2013

Diva amchokonoa tena mh.zitto kabwe kwa kumkejeri juu ya Uwezo Wake Mdogo wa Kugombea Urais Mwaka 2015

Baada  ya  kutangaza  kumpiga  chini  Mh.Zitto Kabwe, Loveness  Diva  ameamua  kumchokonoa  tena  kwa  kumkejeli  kuhusu  uamuzi  wake  wa kugombea Urais.....

Huu  ni ujumbe wake aliouweka instagram: 

 ".Ivi  kwa akili yako unadhani  unastahili  kweli  kuwa Rais mteule wa taifa  hili....??

"Usiponijibu nikaridhika, basi  ntakuchukulia  kama  mtu mwenye upeo finyu asiyejua alitendalo.."
From:Freebongo

No comments:

Post a Comment