Pitia Hizi Commet za Watu Mbalimbali Naada ya Jana Kuandika Ujumbe Mzito Kuhusu Clouds Fm.JOTO HASIRA
Anonymous said...
ama kweli dunia hadaa,Muombe Mungu na mtegemee daima,,,atakushindia,,,
May 1, 2013 at 2:31 PM
Anonymous said...
Pole sana dada yangu mwenyezi mungu atakusimamia na yote aya yatakwisha tu
May 1, 2013 at 2:32 PM
Anonymous said...
YAANA
HAPA KIKUBWA NI KWAMBA WEWE UNAMTEGEMEA MUNGU BASI JUA TAYARI UMESHINDA
HIVYO VITA....TUKO PAMOJA NA WEWE KATIKA KUKUSUPORT NA KUKUOMBEA MUNGU
KUKUEPUSHA NA KILA BALAA..............ILE RADIO HAINA MAANA KABSAA
WASANII WENGI WANANYONYWA NA WALE JAMAA ILA KWA VILE HAWANA PAKUKIMBILIA
NDO MANA WANAKUWA MANDONDOCHA...KWENLI WEWE COMMANDO, KWELI WEWE
ANACONDA.....MUNGU ATAWALIPA KWANI MUNGU HAWAFICHI MADHALIMU
May 1, 2013 at 2:37 PM
Anonymous said...
Nimesikitishwa
sana na nilichokisoma hapa, watu wengi binadamu wachache sana....jamaa
mbona nilidhani ni watu wa maana sana? kumbe wanaroho ya ajabu kiasi
hiki? dada najua umepitia wakati mgumu sana na wewe ni wakwanza
kukusikia katika maisha yangu ukitamka hivi hadharani nadhani
unamaanisha na hawatakitumi kifo chako kama sehemu ya kuingizia kipato
maana wakati mwinge hufanya hivyo. KAMA WANAAKILI THEY HAVE TO APOLOGIZE
VERY SOON, NA HILI LITAWABOMOA HASWAAAAAAAAAAAA, KAMA MIMI KIUKWELI
MOYO WANGU KWA HIYO RADIO HAUPO TENA, NI HAYO TU.
May 1, 2013 at 2:38 PM
Anonymous said...
Nimesikitishwa
sana na nilichokisoma hapa, watu wengi binadamu wachache sana....jamaa
mbona nilidhani ni watu wa maana sana? kumbe wanaroho ya ajabu kiasi
hiki? dada najua umepitia wakati mgumu sana na wewe ni wakwanza
kukusikia katika maisha yangu ukitamka hivi hadharani nadhani
unamaanisha na hawatakitumi kifo chako kama sehemu ya kuingizia kipato
maana wakati mwinge hufanya hivyo. KAMA WANAAKILI THEY HAVE TO APOLOGIZE
VERY SOON, NA HILI LITAWABOMOA HASWAAAAAAAAAAAA, KAMA MIMI KIUKWELI
MOYO WANGU KWA HIYO RADIO HAUPO TENA, NI HAYO TU.
May 1, 2013 at 2:39 PM
Anonymous said...
Hongera
Binti Machozi kwa kuwa muwazi!! Isingependeza kama ungebaki na haya
maneno bila kuyasema!! Ni makali sana ila they deserve this!
May 1, 2013 at 2:40 PM
Anonymous said...
Csta
jaydee najua ww ni mkali tuu hata kama na kwa hli mungu kishalioona na
yuko nawe kuhakikisha anawadhalilisha wao na sio ww!kikubwa mtangulizee
mungu naamini atakulipa dada anguu polee sanaa pia naweza sema kweli kwa
sababu mara nyngi nimewaona wakijalibu kukufanyia vimbwanga juu ya
nyimbo zakooo
May 1, 2013 at 2:43 PM
Anonymous said...
Duh, nadhani ujumbe umefika kikamilifu.
Nafikiri ni jambo la busara kumwambia mtu ukweli na siyo kusemea pembeni kitu ambacho ni unafiki.
Sasa naanza kuamini; tuliyasikia kwa Sugu na sasa Jide.
May 1, 2013 at 2:47 PM
Suzan Humbi said...
waambie
komandooo, hawajui kama talent inaletwa na Mungu na siyo wao, wasikupe
pressure we ni mti wenye matunda bwana lazima upigwe mawe, utabaki kuwa
komando tu na wewe hakauna kama wewe bongo hii hta wao wanajua hilo,
achana naoooo kabisa
Dada kiukweli huu ni ujumbe mzito sana na utawafikia walengwa,tupo pamoja nawe katika mapambano.
May 1, 2013 at 2:59 PM
Anonymous said...
pole
dada angu ila hongera kwa moyo wa ujasiri mungu ni mwema,na katu
mwanadamu hawezi kujigeuza mungu hayo wanayafanya ni ya muda tu ila
mwisho wake upo tu km ilivyokua kwa goliati.tunakuombea sana kwa mungu
atakufanikishia kila jambo.LEON LEE
May 1, 2013 at 3:01 PM
Anonymous said...
Najua
wengi watakushangaa na kukusema lakini kitu nilichopenda umekuwa mkweli
kwa nafsi yako hilo ndo la muhimu,nafsi kuwa huru ni kitu kizuri
,nakupenda na utashinda
May 1, 2013 at 3:02 PM
Anonymous said...
Duuuu, kweli umeamuwa. Ngoja nipite mie. Ya ngoswe mwachie ngoswe.
May 1, 2013 at 3:02 PM
Kokuikana said...
You
said it all baby girl! Ujiandae vizuri kwenye shoo yako mama wasije
wakasabotage, jiandae mambo kama generator manake hawachelewi kuwapa
hela Tanesco wakakukatia umeme! Tuko nyuma yako mamii, I can't wait!
Manake nakumbuka kwenye uzinduzi wa album ya wanaume kama mabinti
tulijaaje pale Tulip..! Tuliimba na kucheza! We sema tu jinsi ya kuipata
album yako na tiketi zitapatikana wapi! God is with u! Hao watu ni
matajiri wa hela lakini ni masikini wa Roho Mungu awasamehe!
May 1, 2013 at 3:03 PM
Anonymous said...
Hukubaniwa
wewe tuu tena unabahati za kwako zilipigwa! Kuna msanii hadi leo
ulianza naye hakupigwa. Clouds Fm ilimtengeneza msanii huyu na kumbania
wenyewe. Fitina zao zilianzaga mapema tuu walibana msanii mwenzako wa
kike Natasha Shyrose toka album yenu ya kwanza ya clouds. jamaa hawa
walikataza times fm,radio one, wasipigie ila redio uhuru ndio walikua
wakipiga nyimbo zake. Fitina zao wenzako walizionja mapema ila vipaji
havizibwi na mtu maana kama usemavyo mungu akipanga binadamu hazibi.
Kaza buti tumia redio nchi nyengine na hiyo yako tutasikia nyimbo zako
achana na hao watu na chuki zao!
Hapana chezea anaconda....moto ni ule ule..alipangalo mola binadamu hawezi pangua. Mungu azidi kukubariki.
May 1, 2013 at 3:06 PM
ima the designer said...
Message sent nahakika wameshaipata hata wafanye nn uko juu na utaendelea kuwa juu coz wadau ndo tumeamua hivyo
May 1, 2013 at 3:07 PM
Anonymous said...
Adui
mwombee uzima ili ukifanikiwa ashuhudie mafanikio yako. Inshaallah
Mungu atakusaidia mama yetu kaza kamba utashinda. Na binadamu ndo
walivyo.
May 1, 2013 at 3:07 PM
Anonymous said...
Mungu akusaidie upate mafanikio zaidi. Tupo nyuma yako mama.
May 1, 2013 at 3:07 PM
titus said...
hii ndo wafu fm
May 1, 2013 at 3:20 PM
Anonymous said...
Hongera binti machoz kwa kutoa ya moyon
May 1, 2013 at 3:21 PM
Anonymous said...
Bad
news for such a very had working young lady. Nonetheless kisheria
hauwezi kuitwa wosia kama haujawekwa ktk wosia rasmi wa Lady Jaydee japo
mimi mzee mzima Babu A nimeshtushwa na kusikitishwa. Wish u best of
luck being one of ur fans.
May 1, 2013 at 3:22 PM
Anonymous said...
dah!,machoz
yananitoka kwa kweli!,nimeguswa sana,sababu ulihangaika sana kuckika
kimuziki n then watu wanashndwa kufurahia mafaniko yako!,kha,Mungu yu
pamoja na wewe,inawezekana hii pia ikawa sababu ya Gadner kuondoka pale.
May 1, 2013 at 3:24 PM
Anonymous said...
POLE SANA .MRII au MUHESHIMIWA SUGU ALISHA YAONA HAYA YA HAWA JAMAA.
May 1, 2013 at 3:26 PM
Anonymous said...
Afadhali
umesema ukweli kuliko kukaa nao moyoni. Hawa wa2 wanajiona wamuhmu
kumbe wameshashtukiwa zamani. Kweli Mungu ndiye mgawa riziki na cyo
binadamu
May 1, 2013 at 3:27 PM
Anonymous said...
Nilikuwa
napenda kazi zako....ila hili linanifanya nikukubali zaidi na
zaidi....I salute u keep it up I hp one day they wiLl let u free for
good
May 1, 2013 at 3:34 PM
Anonymous said...
umefunguka
ila umesema ukuwa waz manake 2mekuwa 2naskia chinichini ila wewe
umezkata mzizi wa fitina, clouds badilikeni lasivyo nanyi mtapotea, Jide
usijali fans 2nakusapot. kukuoneshea hilo subiri trh 30 mei
May 1, 2013 at 3:39 PM
Anonymous said...
Heri
yako umeamua kujiepusha na UNAFIKI,wapo wasanii wengi sana
wanakandamizwa na kina Ruge lakini hawathubutu kufungua midomo yao na
huo ndio nauita UNAFIKI, kuliko kukaa kulalamika pembeni ni bora
kufunguka na kutoa ukweli kama ulivyofanya wewe.,big up sana Jide..kama
mbwai mbwai tu..kimeshanuka.
Sasa kile ambacho Sugu amekuwa akikipigia kelele labda sasa watz waneweza kuelewa
May 1, 2013 at 3:44 PM
Anonymous said...
Kweli
ubinadamu kazi, Kwanza hongera sana JIDE kwa kuwa na moyo wa kijasiri
na kuvumilia kwa muda wote huwo, siku zote ukweli humuweka mtu huru tena
huru kweli kweli"" kikubwa deal na mambo yako mtumainie MUNGU
atakufikisha pale alipo kusudia ufike. JIDE wewe sasa umekomaa kwenye hii industry ya music wa kibongo watete na kuwaonyesha njia hawa wanao kutegemea na kukuamini.
May 1, 2013 at 3:45 PM
Anonymous said...
duuu!!!.
kumbe ni masnich hao wafu fm!!. nilidhan sugu alikuwa na matatizo. leo
ndo nimejua! sugu alikuwa right. na ndo maana sijawah kusikia ngoma za
mapacha kugongwa. haina noumar binti machozi.
Lady
J, pole xana kwa iloo ila ninachoamini Mungu pekee ndie mleta mafanikio
kwa wanadamu na c ruge wala kusaga, keep on prayz na piga kazi. Potezea
hao Hta wasanii walio nao wangekua na nyumba, ila kwasa7bu yao hadi leo
wanalala kw wazazi wao. Malipo ni hapahapa dunia.. Kp wait
May 1, 2013 at 4:00 PM
Anonymous said...
Hi hi hi.... Mi i like.... Watu wanabebwa ila talent haibebwi.... €%¥¤§$₹~[ zao
Mimi
binafsi nimefurahishwa na waraka huu kwaupande wakuonamsanii mkubwa
kama Jide ameandika kuhusu hawa watu wa cloud,nimesikitishwa na vile
hawa jamaa walivo katika industry hii ya muziki,kama ndivo hivi unadhani
wasanii wetu watakuja kufikia level zakina Josee Chameleone zakuwa in
top ten kwa wasanii matajiri wa afrika?duh!Kazi IPO sana kwenye industry
hii!Ila mkikomaa wote kwa pamoja naamini mtashinda... Best of lucky wasanii wa bongo!
Big up cster kwa kuwapa makav laiv ukiwa hai,but mungu yu nawe utashinda tu
May 1, 2013 at 4:07 PM
Anonymous said...
Lady
Jay Dee (Judith), kisasi si kitu cha kuvaa moyoni. Nimeona wengi hapa
wamekusifia kwa ujasiri lakini sijauona ujasiri huo. Ni kweli kuwa kuna
wakati ulifurahia 'favor' za hao jamaa na bila kituo chao cha radio
usingefika hapo ulipo, hilo ulipaswa kulisemea na kulitolea shukrani
pia. Si nia yangu kusema kuwa clouds ni watu wema au wabaya, ila
yawezekana kabisa mlikuwa marafiki na ikafika hatua urafiki ukavunjika.
Kama wanakataza wasanii kuungana na wewe, nadhani hapo ni juu ya wasanii
hao waliokatazwa kuamua ama kukubaliana nao au kuungana na wewe. Lugha
ya usije kwenye msiba wangu huwa ni ya mzazi aliyekataliwa na mtoto, na
sio ya mtoto aliyekataliwa na mzazi. Ni wazi kuwa mpaka unaandika hapa,
ni kwamba kuna sehemu wakubana hadi imekuuma ndipo ukaja na wosia wako.
Ulihitaji nasaha, za mtu mwungwana, mcha - Mungu. Huwezi toa lugha ya
kisasi kisha ukasema tuone Mungu ni nani na binadamu ni nani. Mungu
anajua unawaza nini hata kabla hujasema. Ulichopaswa kufanya ni kutafuta
namna ya kuwasilisha ujumbe wako kwa wahusika bila kuchafua taswira yao
kijamii. Dunia mzunguko, mnaweza kupatana siku moja kisha ukaja na
wosia mpya hapa. HILI JOTO HASIRA...............
May 1, 2013 at 4:08 PM
Anonymous said...
Pamoja
sana JIDE wr 2gether endelea kufanya vizuri mungu yupo atakusaidia wao
hawajui kwamba ndo wanakupa nguvu zaid ya kufanikiwe "ili ufanikiwe
unahitaji MARAFIKI na ili ufanikiwe zaidi unahitaji MAADUI pro J" every
thng is possible under the sun wishng u gd success
May 1, 2013 at 4:10 PM
Anonymous said...
Mungu hamtupi mja wake ma sis, i love you. Mungu
mwema kakupigania all those days, atakuwa nawe dawa na kwakuonyesha
kuwa yeye ni mkuu zaidi ya binadamu, atakufanya uwe juu zaidi. nimependa
da way u speak u heart, i love dat. 2po nyuma yako ma sister. GOD is
always good n he loves you he wil fight 4u. BE BLESSED.
May 1, 2013 at 4:13 PM
Anonymous said...
safi..nimependa
umesema ya moyoni..na kama ni ukweli mtupu jua huko huru sasa...aliazna
sugu sasa wewe....safi..wasanii wengine wasiache kusema pale wanapohisi
wameonewa..
Ati
Dunia ina mambo, wanadamu nawo wana mambo zaidi,unyama wa aina
hiyo,siyo kwamba wana mapepo wao ni mapepo kabisa! Pole sana superstar
Mungu yupo ata kulinda. Voice from Bujumbura
May 1, 2013 at 4:19 PM
Anonymous said...
U hv mr support frm ur fanc endelea kufanya vizur, JIDE kwnye industry ya music unaweza mama
May 1, 2013 at 4:20 PM
Anonymous said...
Mimi
kiukweli niko upande wako Dada Jay Dee na ni mdau wako mkubwa tu,
naukubali mziki wako na kazi zako pia. Najua wewe ni mkristo kitendo
ulichofanya si cha kiimani kama ulivyosema Mungu ndo mpaji na muandaaji
wa kila kitu chetu si vyema ukampangia Mungu adhabu ya kuwapa hao wabaya
wako. KAULI NI NZITO SANA, Mungu anamipango yake siku zote, mimi
napenda nikwambie tu kuwa bora ufute kauli hiyo kwani kwa tamaduni zetu
hilo ni kosa hata kiimani pia. swali: jE! WABAYA ZAKO WAKIOMBA MSAMAHA
KWA MUNGU WAO, WEWE UTAKUWA KATIKA FUNGU GANI? Hiyo ni kama kufuru.
biblia inasema samehe 7 * 70 yatupasa tumwachie Mungu yeye ndo muamuzi
wa yote! Ni mawazo yangu tu!
May 1, 2013 at 4:21 PM
Anonymous said...
Sms sent and delivery,haijapungua kitu hapo dada jay dee.
May 1, 2013 at 4:21 PM
Anonymous said...
unapapatika
kama kuku aliyekatwa shingo, unachokifanya ni mchezo mchafu, kwa
kuwachafua watu ili kuipigia promo show yako, ww na mume wako Gadna wote
hamtumii comon sense inabidi mjipange, unafikiri tumesahau wasanii
walioondoka kwenye bendi yako walichokua wanasema? ulikua ukiwanyanyasa
na ujira wao ulikua mdogo na baada ya kazi huwapi, mpaka wengine
wakakimbilia SKY LIGHT BAND, kila siku unawatukana watoto wa kiume
utafkr umewazaa ww, nani asiyekujua LADY JAY DEE kwa kuvimba? dunia ndo
inakupiga sasa, ww umepata stress baada ya kukimbiwa na wasanii, wenzako
wanatafuta maslahi hapa town hawajaja kuuza sura, au kukushobokea wewe
kwasababi Star, Salary ndo mpango mzima, ni mara ngapi umeanzisha ugomvi
mbele ya wateja pale nyumbani lounge? Wateja wamekimbia pia kwasababu
huduma zinazotolewa ni hafifu hazilingani na pesa wanayotoa, face
changamoto zako na si kuchafua watu, unawasema watu JE USHAHIDI UKO
WAPI? hzo big up za twitter na facebook ndo zinakupa kichwa? wao wenyewe
hawajielewi wadananda tu, Ulipewa promo la nguvu miaka kibao, tena mume
wako ndo alikua anapiga links mwenyewe kwenye jahazi na top 20, hakuna
msanii wa kike aliyepata promo zaidi yako, kwani kina Stara Thomas
walikua hawawezi? lakin ulibebwa ww, wao sasa ndo walalamike, cha muhimu
Bi dada badilisha Life Style la sivyo utakufa kwa msongo wa mawazo,
kama si ajali ya gari basi unaweza hata kujiua, au presha
May 1, 2013 at 4:27 PM
Anonymous said...
aisee pole, kweli dunia ina mambo,, mtegemee mungu na ndiye atakupigania tu..
May 1, 2013 at 4:29 PM
Anonymous said...
Dah!
So hot my dear dada pole sana bt naamini mungu yu pamoja nawe ndio
maana leo uko hapa na waambie kabisa sio bint machozi tena kama walivyo
zani bt NIKOMANDO na mungu yuko upande wetu Nakupenda sana dada jide
yute hayo ni mapito tu ila hukumu yao yaja ni hapa hapa duniani tena
kabla hata hujanyamaza utashuhudia kwa macho yako ndio utakufa. Kazi ni
nzuri inajionyesha na kujiuza yenyewe wao hata hawata kaa wahusike ktk
maisha yako kamwe kwanza uliwasaidia sana hata kufanya nao kazi enzi
hiyo sasa yatosha. Inaumiza kwa mtu yeyeto aliye na nyongo ila imefika
mahali wasanii waige mfano wako wajiamini. My dada mungu hato kuacha
uangamia keep it up n' may god bless you
May 1, 2013 at 4:30 PM
Anonymous said...
aisee pole, kweli dunia ina mambo,, mtegemee mungu na ndiye atakupigania tu..
kila kitu kina mwisho, hata wao wana mwisho, jst don't quit sister.
May 1, 2013 at 4:44 PM
Anonymous said...
Walkuepo
ma monopoly wakubwa dunian lakn ulfka mwsho wao kutokana na changamoto
na watu kuchoshwa na unyonyaj uliokthir clouds fm hasa wamilk wen
mnaojiita mmemilk gem la bongo kama hawala zenu mwsho wenu unakuja na
nyny wasanii ma hopless mnaoimba unity ilkufurahsha nafc zenu mtanyonywa
had hela za kod mwshowe mrud vjjn kwenu mkalime wapuuz nyie mwenzako
akinyolewa zako tia maj! Nyie wenye dhiki za kipuuz ndo mnaangusha
misimamo ya wenzenu big up anaconda eb onesha kua ww ni nan katika gem
la mzk wa bongo wanaokuja nao wapte ktk njia ilo pevushwa.social
networks kbao saiv haina haja ya kukumbatia uovu ulojfcha kwenye sura
zenye picha za ukomboz.saut itackika kote kama mama shujaa mwenye
mcimamo yakinifu tupo pa1
May 1, 2013 at 4:45 PM
Anonymous said...
aisee pole sana jide,, mtegemee mungu atakupigania tu..
May 1, 2013 at 4:47 PM
Anonymous said...
Pole
mumie, japo watu hao wanajifanya ni sikio la kufa. Umoja ni nguvu nyie
unganeni mtengeneze team kubwa ya kuokoa kizazi cha muzik wa sasa.
Mkianzisha nyie wakongwe, hata wachanga watafuata na itakuwa fundisho
kwa media zingine
May 1, 2013 at 4:47 PM
happier said...
Imeandikwa
amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu kama kinga yake na moyoni
mwake amemwacha Mungu, Wewe ni zaidi ya hao, tena una utajiri mkubwa
kuliko wao(Utajiri wa AMANI),mimi nasema hautakufa kwanza wataanza wao
ili wakaungue kwenye huu moto wanaouwasha hapa duniani dhidi ya
wanyonge. Tupa kule, songa mbele na tuko pamoja sanaaa mama yangu.Mungu aibariki kazi yako milele hata milele
baada ya SUGU then ni wewe,wa2 wanachoka sijui hao wengine ni vp wanakaa kimya
May 1, 2013 at 4:58 PM
Lumano Gasper said...
Hey
mum jidee fanya yako bhana izo ni changamoto tu za maisha ..,unapendwa
na utaendelea kupendwa..,wakuchukiao shauri yao..,FANYA YA
BINAMU...,kama ivi ....."usiache kuongea aaaa ongeeni mnavyoweza kila
mnapoongeaaa sifa zina ongezeaka...." WE ALL LIVE IN DIFFERENT LIFE NO
MATTER WHERE WE ARE WE HAVE TO BELIEVE IN GOD ALWAYS AND
FOREVER....,& ALWAYS CHALLENGE MAKE PERFECT..,naipenda sana hii
misemo ..,if u like
May 1, 2013 at 4:59 PM
Anonymous said...
pole my sis...as long as watanzania wote wanakukubali except hao mbuzi wawili#no problem.......we love u jide
May 1, 2013 at 5:04 PM
Anonymous said...
Kiukweli
nimeguswa sana na hiki nilichokisoma halafu eti wanajiita redio ya watu
what the hell they are just play with the people minds all in all God
is with u tena nakuomba mwaka 2015 Ugombee ubunge ili roho zao mbaya
ziwaume vinega hao
Hongera kwa kukitoa kilicho moyoni mwako Mtetezi wako yu HAI atakupigania
May 1, 2013 at 5:22 PM
Anonymous said...
pole
Jide na pia hongera sana dada komandoo, me ni fan wako mkubwa, naamini
ipo siku hawa wa2 watapotea kwenye ramani hii, kwa kuwa maovu
wanayoyafanya yanajulikana na watanzania na dunia nzima imeshajua kuwa
hao ni wanyonyaji, dawa yao ni kuwachana hivyohivyo na kuzidi kusimama
kikomando, kushikamana kwa wasanii ndo kutawapoteza, u have all the
support from tanzanians,,
May 1, 2013 at 5:23 PM
Anonymous said...
Hongera sana Jide kwa kuwa muwazi..hadi machozi yamenitoka...simama katika Mungu wako na endelea kutekeleza majukumu yako
Pole
sana na hongera kwakuwa na ujacri mkubwa Mungu azidi kukupa ujasiri
zaidi uyo Ruge na Kusaga malipo yao yapo hapahapa na hawawezi kukunyima
wala kuziba riziki aliyo kupa Mungu wanyonyaji wakubwa I so sad about
dat :((siku yao itafika tu
May 1, 2013 at 5:31 PM
Anonymous said...
You just made your point very clear madam.very clear!
May 1, 2013 at 5:39 PM
Anonymous said...
Kp it up we love ya music
May 1, 2013 at 5:48 PM
flora said...
jide my dear,jipe moyo usimwogope binadamu hongera sana kwa ujasiri wako
yani
kwa watanzania walio wengi hili la dada j mnaliona jipya but sisi
watoto wa mjini mbona hawa mbururu tunawajua sana....sio jd tu wasanii
wengi wamelia sababu ya hii radio,wamepoteza ndoto nyingi tu za watu na
machozi ya watoto wa watu ni laana kubwa kwao na familia zao...huyo ruge
ndio shetani kabisaaaa akiongea unaweza kudhani nimalaika kumbe nyoka
tena mwenyesumu kali anajifanya mtalatibuuuuu kumbe msenge tu na ukimwi
wake kwani uongooooo.dawa zakuongeza siku hazisaidii if ndani y roho
yaho umejaza chuki na inafki.q chila yuko wapi? au mnajifanya watanzania
hamfahamu? diamond anamzidi nini q? maskini q ameangaika saaaaana na
kipaji chake nikikubwa saaana wamekiteketeza leo hii wanajifanya
wanataka kumfufua..duh kweli ubinaadam kazi, vumilia wa THT yuko wapi
nakipaji chake? wamempotezea future kabisa mtoto wa watu....list ni
ndefu wacha niishie hapo pls jd naomba kama kweli unataka tuliongelee
hili kwa uwazi ruhusu post yangu tunataka kuwafungua watanzania wajue
uozo huu... tumechokaaaaaa watangazaji mashoga na wasagaji basi isiwe
sababu yakushindwa kua real mbona ata ulaya na marekani wasenge ndio
wako smart zaidi au hawa wakwetu wananini?kha;;;
May 1, 2013 at 5:52 PM
Anonymous said...
Nitakua naingia show zako na kununua kazi zako nakala halisi...
May 1, 2013 at 5:53 PM
Anonymous said...
Kuwa makini Jide wasikuuwe,make watu kuwambiwa ukweli hawataka,ukifa ghafula tutajua ni wao,mungu yupo pamoja na we,
May 1, 2013 at 5:53 PM
Anonymous said...
Wengine
wengi tu wataongea kwani kila jambo na wakati wake............! What's
up Profesa J?! Afande Sele,Nature,Ay na wengineo???? Wafu
watawafulisheni and it's gonna be too late for u guys! Come on the time
is now for change! What are you waiting for???? Fungukeni sio kukaa
kimya mnashindwa hata na demu.
May 1, 2013 at 6:00 PM
Anonymous said...
you
are one special lady in the music industry in tanzania and i pray you
become the next bi kidude...these two mofock shouldn't give you a
headache at all..you are successful,keep up the hard work...ruge and
kussaga think they can own all successful and unsuccessful women in
tanzania but they are very wrong,they are born and raise d stupid and
their stupidity will never change,the good thing is..alot of tanzanians
have realized their level of stupidity and believe me you,that is the
end of their success...we do not accept them in the society,we pity them
and are fully ashamed of their scum activities in this nation. Jide,keep up the good work,we(as few as we are many)will support you...wachana na njaro za mabulula...
May 1, 2013 at 6:16 PM
Anonymous said...
Kwan
who is ruge or kusaga by the way?kwan nao c ni binadam km wengine au
pua zao zimetizama chini? Ckiliza dada angu ww komaa mungu yu pamoja naw
daima hata wakifanyaje km rizik ipo ipo tu. Bahat ya mwenzio huwez
kuiziba hata ungekuwa na uwezo wa kumiliki ndege.miw nakutakia kila her
liwe naww.
May 1, 2013 at 6:21 PM
Anonymous said...
I
wish ningesema kuweni kitu kimoja na mkanielewa sema kuna wenzenu ni
waoga wa maisha!!! Umenza jd will be waiting kuona nani anakuja after
you na hii historical movement of which mkiwa sawa mtashinda na heshima
itarudi!!
Keep The Good Music Alive, Better Clouds should look at what they are doing.
May 1, 2013 at 6:24 PM
Anonymous said...
THE
RIGHT THING AT THE WRONG TIME IS THE WRONG THING. JIDE KWANN ULIKAA
KIMYA WAKATI WA HARAKATI ZA ANTIVIRUS?KINA SUGU WALIPIGANIA SANAA LKN
HAPA WW UNAPIGANIA NAFSI YAKO. ULIWAHI KUWA KWENYE MAHUSIANO NA RUGE,JOE
MNATOKA MKOA MMOJA,WOSIA UMEKAA KIMAFUMBO,STORY IMEBALANCE UPANDE
MMOJA....NGOJA TUSUBIRI WAGEUKE.
May 1, 2013 at 6:30 PM
Anonymous said...
...Pole
sana JIDE! Pambana, jipange, jiamini, jipe moyo...; na jiweke huru
kwenye biashara kuna mbinu za kibishara (za competitive intelligence)
ambazo hutumiwa na baadhi ya wafanyabishara wenye roho mbaya (kama za
hao wasiyokutakia mema). Tumia muda wako mwingi kufanya sanaa yenye
ubinifu mwingi na jitume ufanye kazi bora na yenye mvuto kwa soko lako.
Fanya kila kitu kwa kumtegemea Mungu...na Yeye (Mungu) Atakupa ulinzi
wake; na hao maadui wenye sumu ya nyoka utawashinda kwa uwezo wa Mungu.
Usikate tamaa, pambana "Komandoo JIDE."
May 1, 2013 at 6:35 PM
Anonymous said...
Clouds meadia employees are bunch of puppets,holding tight to their bosses nuts. It's about time someone is strong enough to tell the truth.RUGE,JOE,ya'll homos.
May 1, 2013 at 6:50 PM
Anonymous said...
jay
dee sijawahi kukusikia ukiwa na ugomvi na ma beef ya ovyo ovyo kama ma
star wengine hili ulilosema leo inaonekana limekukela mda mrefu,na pole
sana kwa mitihani ya walimwengu ndivyo tulivyo,mtegemee Mungu wako
atazidi kukupaisha na tunazidi kukupenda.
May 1, 2013 at 6:59 PM
Anonymous said...
Jide!
Hongera kwa kuwa mkweli..pambana tu, juu vile mungu hapokei rushwa hao
wanyang`anyi hawataweza kuzimisha nyota yako..wapi babu S?! Je
wanamfahamu lakini na yuko wapi sasa..raha ya maisha ni kufurahi na watu
is kuwapiga vita..Ruge and your ..just be optimistic
Kwa
maneno yako dada JD basi nadhani hao jamaa watachapika vibaya mno na
hicho kiredio kitakufa muda si mrefu. Ukatili wao na rushwa zilishafika
mwisho! Wito kwa wasanii, muungane ili kuwezesha maslahi yenu, wasije
ibuka tena wanyonyaji na katili kama hawa jamaa wanaoelekea kwenye
kuporomoka kwenye umasikini wa kujutia.
May 1, 2013 at 7:22 PM
HUSSEIN SAED MWINYI said...
Dah
ama kweli ukweli unaishi uongo utakufa, hakuna kitu kizuri kama mtu
kusema yalo moyoni bila kuficha ficha,hii ni kuonyesha ni jinsi gani
waweza simamia haki yako kiukweli kila mtu anafanya kazi kwa bidii ili
ajipatie kipato na iwapo ikatokea mtu akataka kukatisha kile kipato
chako wallahi si mtu mwema na mie nasema dada jide kuwa nothing NOTHING
LAST FOR EVER iko siku watakuangukia wakuombe radhi kwa fitina zao za
kutaka kukupoteza kisaniii
May 1, 2013 at 7:40 PM
Anonymous said...
Kama unapita kuna haja gani ya kuandika? Si ungesoma kisha ukae kimya.
May 1, 2013 at 7:53 PM
Anonymous said...
pole
sista kubwa, wewe ni mtu mwingine kabisa ktk tasnia ya mziki bongo,
achana na fisadis hao na kubwa ushawapa watajibeba. hatukuombei
utangulie mbele za haki but ikitokea mawe yatarushwa kwao home hadi
mjengoni!!! pumbavu zao. songa mbele dada tupo pamoja, we salute you,
and no one above u in music bongoland....
May 1, 2013 at 7:56 PM
Anonymous said...
HAO NDO MATAJIRI WA MALI MASIKINI WA ROHO . JIDE UISHI MIAKA MIA NA KAULI YAKO IBEBWE MPAKA UTIWE MCHANGANI
MIE SHOGA ANGU ALISEMA MUMEWE ASILIBEBE JENEZA HATA KAMA WALIZAA . HAKULIGUSA CHEZEA SIE
ALIFUKUZWA KAA MWIZI HAKUSOGEA KAULI YA JIDE TUISIKIZE TUTALIBEBA SIE KAMA TUPO WAO MARFUKU MFYUUUU
May 1, 2013 at 8:00 PM
Anonymous said...
TENA USIWASAMEHE MAANA WATAKUONA MJINGA NA KUZIDI KUKUCHAFULI DADA ANGU
May 1, 2013 at 8:03 PM
Anonymous said...
JD,now
umeongea... Sugu was right,Sugu hakutaka unafki,yeye mapeeeema
aliwawashia moto via Ant Virus. Wewe umetumia Blogs..hao jamaa
hawafai,hata Watangazaji wao wanawafanyia the same,Hawataki wapate... Nyie Wakongwe wa Music yaan ww,Sugu,Prof J, Nature jipangeni mfanye kazi... Trust mpo juu. Tupo nyuma yako.. Jide Moto chini,Sugu Moto chini. Wasanii wengine acheni kuwaabudu hao jamaa, THT ni chombo chakuwanyonya, Wake UP upcoming artist. Salute kwako JIDE na SUGU.Mnaweza mkawaokoa wasanii wachanga kwa Maneno yenu.
May 1, 2013 at 8:09 PM
Anonymous said...
Da
judith wambura a k a ANACONDA pole da yng .....hata sugu alipitia huko
ila hakufa nalo moyoni aliwapa ukweli hao wanaojita the peoplez station
....bora naww umeliweka hadharani .....talent haibebwi......
May 1, 2013 at 8:12 PM
Rehema said...
Mungu
siku zote yuko kwenye haki, Mtangulize Mungu kwa kila jambo, fanya kazi
kwa bidii, watanzania wanaelewa sana. Huwezi shindwa kufanya maendeleo
eti kwa sababu ya watu 2, hiyo ni mwiko, watanzania wanakupenda na ndo
maana hadi leo wanakusupport. Big up uliko toka ni mbali hadi hapo
ulipofikia.
May 1, 2013 at 8:20 PM
Anonymous said...
Alooo god be with ya al d tym stay put god wl alwayz
Sema kweli mamy. Wanawake ndiyo zaidi kuonewa. Wakutawale lkn na rushwa za Ng... ndo mwanzo.
Jide mbali nakuwa nakupenda!!! Nakubali sauti yako. Mara yangu ya kwanza kusikia sauti yako live!! Bila mic wala chenga!!! Sultan Palace Nilikuinulia mikono juuuuuuu.
Ukiwa ktk steji kuna vingi vikorombwezo. Wape kitu kavu kavu watu wasokujua.
Tumia kipaj na Mungu yuko nawe.
May 1, 2013 at 8:33 PM
Anonymous said...
helping someone that is divine opportunity given by GOD if you deny GOD will rise another one!!...... all the best sister MUNGU yupo pamoja nawe na sisi tupo pamoja nawe tunakupenda sana
May 1, 2013 at 8:45 PM
Anonymous said...
Kuna
siku niliwaza sana, Judith Wambura ni msanii mmoja tu aliyeamua kusema
juu ya ufisadi wa radio ya watu! Sugu hakuwa mwehu kuendesha vita ya
Anti virus! Kuna jambo napenda wasanii walifanye.
May 1, 2013 at 8:54 PM
Safina said...
Pole
sana dadangu Mungu ndiye mgawa riziki wala usihofu kama ameweza
kukupigania toka umezaliwa hadi leo umefikia hapo ulipo na umekuwa star
mkubwa ndani na nje ya nchi why akuache leo??? Kaza moyo my dear Mungu
atakuonyesha njia na kuzidi kufungua milango ya heri
May 1, 2013 at 9:01 PM
Anonymous said...
ucjali
ajikwezae atashushwa na ajishushae atakwezwa amini kwa uwezo wa mola
utasimama na utasikika tu kwani binadamu ni nani hata akuzuie riziki
yako? ushauri wasamee Mungu yu pamoja nawe na atakushindia
Umejitahidi
sana kuvumilia. Una kila haki ya kusema,miaka 10 iliyopita unaumia na
jambo hilo. Ukitaraji yataisha salama,kwanza cjawahi kukusikia ukiongea
juu ya jambo lako. Hakika hili limekuumiza,pole. Mungu yupo nawe
usijali. Hawawezi kuliziba jua kwa ungo...
Umejitahidi
sana kuvumilia. Una kila haki ya kusema,miaka 10 iliyopita unaumia na
jambo hilo. Ukitaraji yataisha salama,kwanza cjawahi kukusikia ukiongea
juu ya jambo lako. Hakika hili limekuumiza,pole. Mungu yupo nawe
usijali. Hawawezi kuliziba jua kwa ungo..
Nafikiri ni jambo la busara kumwambia mtu ukweli na siyo kusemea pembeni kitu ambacho ni unafiki.
Sasa naanza kuamini; tuliyasikia kwa Sugu na sasa Jide.
all the best katika uyapangayo na Mungu akujaalie ufanikiwe.
Inshaallah utafanikiwa.
JIDE wewe sasa umekomaa kwenye hii industry ya music wa kibongo watete na kuwaonyesha njia hawa wanao kutegemea na kukuamini.
Bado hao wengine na wata kufa nasikini.....
Best of lucky wasanii wa bongo!
HILI JOTO HASIRA...............
wishng u gd success
Mungu mwema kakupigania all those days, atakuwa nawe dawa na kwakuonyesha kuwa yeye ni mkuu zaidi ya binadamu, atakufanya uwe juu zaidi.
nimependa da way u speak u heart, i love dat. 2po nyuma yako ma sister. GOD is always good n he loves you he wil fight 4u. BE BLESSED.
Tupa kule, songa mbele na tuko pamoja sanaaa mama yangu.Mungu aibariki kazi yako milele hata milele
U R AWESOME JIDE
Mtetezi wako yu HAI atakupigania
Jide,keep up the good work,we(as few as we are many)will support you...wachana na njaro za mabulula...
It's about time someone is strong enough to tell the truth.RUGE,JOE,ya'll homos.
MIE SHOGA ANGU ALISEMA MUMEWE ASILIBEBE JENEZA HATA KAMA WALIZAA .
HAKULIGUSA CHEZEA SIE
ALIFUKUZWA KAA MWIZI HAKUSOGEA
KAULI YA JIDE TUISIKIZE
TUTALIBEBA SIE KAMA TUPO WAO MARFUKU MFYUUUU
Nyie Wakongwe wa Music yaan ww,Sugu,Prof J, Nature jipangeni mfanye kazi... Trust mpo juu.
Tupo nyuma yako.. Jide Moto chini,Sugu Moto chini.
Wasanii wengine acheni kuwaabudu hao jamaa, THT ni chombo chakuwanyonya, Wake UP upcoming artist.
Salute kwako JIDE na SUGU.Mnaweza mkawaokoa wasanii wachanga kwa Maneno yenu.
Sema kweli mamy.
Wanawake ndiyo zaidi kuonewa.
Wakutawale lkn na rushwa za Ng... ndo mwanzo.
Jide mbali nakuwa nakupenda!!!
Nakubali sauti yako.
Mara yangu ya kwanza kusikia sauti yako live!!
Bila mic wala chenga!!! Sultan Palace
Nilikuinulia mikono juuuuuuu.
Ukiwa ktk steji kuna vingi vikorombwezo.
Wape kitu kavu kavu watu wasokujua.
Tumia kipaj na Mungu yuko nawe.
all the best sister MUNGU yupo pamoja nawe na sisi tupo pamoja nawe tunakupenda sana