Jana
jioni baadhi ya wasanii wote kutoka Arusha wakiongozwa na JCB
walikutana wote na kupitisha michango yao kwa kila msanii wa hapo na
kuiwakilisha kwa familia ya marehemu Albert Mangweha.
Hata wewe unaweza kufanya hivyo kwa kutuma fedha zako kwa M-Pesa kwenda namba hii 0754 967738
Wasanii wa Arusha wakiwa kwenye picha moja
From:DjChoka
From:DjChoka
No comments:
Post a Comment