Huyu Ndio Dada Alievunja Record kwa Kuzimia Na Kupoteza Fahamu Wakati wa Kuuaga Mwili wa Albert Mangwea Morogoro Mpaka Wanaondoa Mwili Uwanjani na Kwenda Kuzika Alikuwa Bado Hajazinduka na Hakujulikana Jina Lake.
aliyepoteza fahamu akipatiwa huduma ya kwanza.
...Akizidi kupatiwa huduma.
...Akibebwa kwa huduma…
Mrembo aliyepoteza fahamu akipatiwa huduma ya kwanza.
...Akizidi kupatiwa huduma.
...Akibebwa kwa huduma zaidi.
...Akitolewa uwanjani.
Mwanadada
huyu ambaye hakufahamika jina lake mara moja alipoteza fahamu baada ya
kuuaga mwili wa msanii mahiri wa Muziki wa Kipya, Albert Kenneth
Mangweha leo katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.
No comments:
Post a Comment