Blogger Widgets

August 23, 2013

Check Picha za Nyingine 60 za Uzalilishaji wa Manaiki aliyekuwa Akimnyemelea Wastara.Shuhudia Mtoto Wa KKike anayesadikiwa Kuwa ni Mtoto wa Waziri wa Kenya Pia na Pacha wa Msaniii Lulu akiwemo Miss Maarufu

Pacha wa Lulu Diana Kimario " Mikogo" huyu
Huyu bint inasemekana ni mwanafunzi wa chuo ambae ni raia wa Kenya anaesoma nchini pia ilidaiwa ni mtoto wa Waziri mmoha nchini humo
 
Huyu nae amewahi kupangiwa chumba na Manaiki maeneo ya Sinza na wakaishi zaidi ya mwaka mmoja kama mume na mke! 
Msichana ambae inasemekana aliwahi kunusurika kunywa sumu kwa ajili ya penzi la Manaiki mmh.
Ushahidi hadharani na sijui kama walikuwa wanaigiza kweli? na kama walikuwa wanaigiza ni filamu gani ya utupu? 
Irine Kanka Miss Temeke mwaka juzi akiwa kwenye himaya ya Manaiki kama wanavyoonekana sijui walikuwa wanaigiza au laa! 
Huyu mwingine hakufahamika jina lakini nae kesha pitiwa na Manaiki.
Msanii Skaina ambae inadaiwa amewahi kuishi kinyumba na Manaiki kabla ya kuolewa na kuachika tena!
Mrembo wa Facebook na Manaiki
Msanii chipukizi kwenye kiwanda cha filamu Bongo aliyefahamika kwa jina la Suzy akichezea mdudu.....
Mmh haya yetu macho sisi.
Manaiki na Dida wakifurahia maisha
Huyu nae hakufahamika jina lake mara moja lakini yuo kwenye mnyororo wa Manaiki.
Mrembo ambae sio staa aliyejulikana kwa jina la Zachia akiwa chumbani muda mfupi baada ya kuduu na Manaiki.
Msanii Skaina katikati ambae nae amingizwa kwenye orodha ya wachumba wa Manaiki Sanga.
Msanii Manaiki Sanga akiwa na mwanamuziki maarufu toka Zanzibar Dida wakila bata za ufukweni kama wanavyoonekana!


Na Mwandishi Wetu
Jeshi la polisi kanda ya Dar es Salaam linadaiwa kumtia mbaroni msanii anaetuhumiwa kupiga picha chafu na wanawake mchanganyiko wakiwema mamiss maarufu na baadae kusambaza kwenye mitandao yote ya kijamii pamoja na kuripotiwa kwenye magazeti pendwa.
Gazeti hili katika upekenyuaji wake limenasa picha hizi kwenye mtandao mmoja maarufu wa kijamii ukimuonesha Manaiki akiwa kwenye kibano kikali cha polisi huku akiwa amevishwa pingu na kurukishwa kichurachura.
Habari za uhakika zilizonaswa na Xdeejayz zilisema kuwa msanii huyo aliyeshiriki kwenye filamu za Tikisa, Love Position, Last Coin na Sory my Soni alikamatwa siku chache baada kuvuja kwa picha zake za aibu zikimuonesha akiwa na wanawake tofauti tofauti.
Aidha  picha zaidi za tukio hilo la kukamatwa kwa Manaiki na haikufahamika kama alikamatwa kwa kosa jingine tofauti na kosa la kudhalilisha wanawake  ambapo hali hiyo iliwalazimu waandishi wetu kufatilia kwa ukaribu tukio hilo la kukamtwa kwa msanii huyo aliyejitapia usataa kwa matukio ya picha za uchi .
Timu ya waandishi wa xdeejayz walifika kituo cha Polisi Buguruni kwa ajili ya kufahamu kama msanii huyo alikuwa ameswekwa kituoni hapo lakini kwa bahati mbaya hakuwepo. Ambapo gari la mapapalazi weti ilielekezwa kituo cha Polisi Oysterbay kwa ajili ya kuonana na RPC wa Kanda ya  Kinondoni Wambura lakini pia kwa bahati mbaya mara baada ya kufika ofisini kwake sekritali wake alisema kamanda hakuwepo kwa muda huo.
Xdeejayz ilimtafuta msanii huyo kupitia simu yake ya kiganjani ili kujuwa nini kilimsibu lakini hakuweza kupatikana kwani simu yake ilikuwa haipatikani kabisa licha kupigwa zaidi ya mara sita.
Aidha kukamatwa kwa Manaiki kumeleta tafsiri tofauti kuwa huenda Rais wa Miss Utalii Tanzania Gidion Chipungahelo anahusika kufuatia kauri yake aliyoitoa kwenye la Kiu la wiki iliyopita kuwa lazima ataanza kumshughulikia Manaiki ili iwe fundisho kwa wale wote wanaosubiri kuwafanyia skendo chafu warembo wake. Hata hivyo licha waandishi wetu kufatilia habari hiyo karibu siku nzima lakini hapakuwa na taarifa sahihi za wapi alipo Manaiki na kituo gani cha Polisi alichoswekwa ambapo xdeejayz inafanya juhudi nyingine za kufika nyumbani kwa msanii huyo na baadae tutawaletea taarifa kamili. Xdeejayz
WAZAZI WATOA KAURI NZITO:
Baada ya Xdeejayz wiki iliyopita tumepokea maoni mbalimbali ya wananchi hasa wazazi wenye uchungu na wa watoto wao na walifunguka mengi sana fuatilia ujue kauri zao.
Mama Amina wa Mbezi Beach alisema “ Jamani hivi huyo msanii ana wazazi kweli? Hapana binafsi siamini kama anao kwani udhalilishaji anaoufanya kwa watoto wa watu kama angekuwa na wazazi hakika wangemkanya na angeachana na huo upuuzi nasema hii haikubariki kabisa  tunamuomba Kamanda Kova amshughulikie kijana huyo ili iwe fundisho kwa wengine” Alisema mama huyo kwa uchungu
Nae Mama Mud wa Sinza Jijini Dar alifunguka hivi “ Unajua huyu Manaiki mimi ni mmoja wa mashabiki wake kwenye muziki wa bongo flava sasa nashindwa kuelewa kwa nini amejidhalilisha kwa picha chafu kama hizo? Sio bure mi nadhani anahitaji ushauri nasahaa kwani huenda sio akili yake haki ya Mungu” Alisema
Aidha nae msanii mkongwe wa tasinia ya filamu nchini Mzee Magali alitoa ushauri kwa Manaiki na kusema“ Huyu motto ana kipaji kizuri sana kwenye kuimba kuigiza sasa ni nini kinachomfanya ajidhalilishe kiasi hiki dar kweli imeuma sana kuona kijana wangu anavyopotea, Kwani sasa hivi tunahitaji kudhalisha akina mzee Chilo wapya. Akina mzee Magali wapya sasa kwa mtindo huu hakika hawa vijana hawatofika mbali na sanaa” Alisema sema kwa uchungu
Aidha nae Hemed Kavu meneja wa Club Maisha ya Dar alikuwa na haya “ Mimi nimepiga simu hapo kuwaeleza kuwa nimesikitishwa sana na tabia ya Manaiki ambapo kwenye hizo picha pia yupo mpwa wangu ambae anasema alishawishiwa na Manaiki kupiga hizo picha hivyo kama familia tutakaa chini kuangalia namna ya kumshitaki ili amradi ushahidi toka kwa muhusika upo kuwa kulikuwa na ushawishwaji wakati wa kupiga picha hizo toka kwa Manaiki ambae alimrubuni kumpa laki mbili akishapiga picha hizo” Alisema Hk
Nae mwalimu wa wasanii wengi nchini n director wa filamu Tanzania aliyejitambulisha kwa jina moja la Bakari alilonga “ Hapo mimi ninachokiona hao wote wana makosa kwani hapo hakuna mtoto mdogo hao mabint nao viherehere vyao viliwaponza hivyo kama Manaiki alifanya kwa kuwafunga kamba hapo sawa ana haki ya kuhukumiwa jamani lakini hao wanawake walijitakia wenyewe basi walaumiwe wote” Alisema

No comments:

Post a Comment