Picha Zikionesha Jinsi Amini Na Linah walivyowasurprise Watu Jana Kwenye Fiesta Baada ya Kupigana Mabusu ya Kimahaba Jana Stejini
Wasanii
lukuki wa muziki wa kizazi kipya usiku wa jana wamewapatia burudani
wakazi wa Tabora kwenye show ya Fiesta iliyofanyika kwenye uwanja wa
Ally Hassan Mwinyi. Miongoni mwa mambo yaliyozalisha shangwe la kufa mtu
ni pamoja na Amini kumbusu mdomoni mpenzi wake wa zamani Linah
waliyependa naye kwenye stage. Tazama picha za namna mambo
yalivyokwenda.
Amini na Linah wakikumbushiana kama zamani
Amini na Linah
Amini
No comments:
Post a Comment