Kiota
maarufu cha starehe jijini Dar es Salaam cha Samaki Samaki tawi la
Mbezi – Makonde jijini Dar es Salaam leo kimeteketea kwa moto. Moto huo
ambao bado haijafahamika umetokana na nini umeteketekeza kila kitu
kwenye mgahawa huo.
Samaki Samaki ikiteketekea kwa moto
No comments:
Post a Comment