Blogger Widgets

October 8, 2013

Check Picha aliyopost Diamond Platnumn na Kusababisha Penny atukane "wanga wa@wemasepetu wananuka mkojo na midomo kazi hawana walale"

Hii imetokea kupitia mtandao wa instgram amabao hutumiwa na mastaa na matajiri wengi zaidi Duniani.. Baada ya kupitia mtandao Huo Asubuhi hii nilikutrana na khali ya majibishano kati ya Penny wa Diamond na Fans wake Diamond kwani Diamond ndiye aliyepost picha na kuandika Ujumbe Huu

Yes! i can see you, my Number one fan...i do Appreciate you and love you to bits...♥♡♥♡ "

Baada ya Diamond kuandika ujumbe huu na kuweka picha hii hapa chini fans walianza kucomment wanavyojua wao ndipo majibishano hayo yalipotokea.....




Zicheki comment hizi za fansa wa Diamond na jinsi walivyocomment Kuhusu Penny na wema sepetu ....anagalia hapa chini... jinsi Penny alivyowajibu fans wa diamond


fredynjoweleMh celewiiii
geoffreymwachaDuuuh!!huo mduku n nouumaaa!!
mwatumu37Niombe msamaha wanini ???? tena unikome.huyu peny mshamba anakata mauno kama yuko kibao kata kwenye bday yake, kweli hakuna kilicho nimvutia pale mwanamke lazima uwe na pozi haswa ukizingatia bwana ni ☆★aibu ingia blog zote uone nani alipenda alivyovaa na full ushamba.kitanda mauwa ya nn.hata mseme nini hamfikia wema kwa chochote upende usipende.habari ndio hiyo.@penmondforlife
mwatumu37Niombe msamaha wanini ???? tena unikome.huyu peny mshamba anakata mauno kama yuko kibao kata kwenye bday yake, kweli hakuna kilicho nimvutia pale mwanamke lazima uwe na pozi haswa ukizingatia bwana ni ☆★aibu ingia blog zote uone nani alipenda alivyovaa na full ushamba.kitanda mauwa ya nn.hata mseme nini hamfikia wema kwa chochote upende usipende.habari ndio hiyo.@penmondforlife
penmondforlifeMtag penny mwenyewe I'm not penny mwagopa sasa hivi ehhh �� @mwatumu37@hotlulumichael doesn't need your apology she is wise enough to know you luck humanity and any sense of personality in you!
maryakeeeMnh! Haya sasa Penny analinda page ya diamond hahahaha kama uko nays ai umpetipeti hapo kazi kuzurura intagram na kujipendekeza kwa@hotlulumichael best wa Wema
mwatumu37Sina muda mchafu na wauwaji endeleeni kuuwa tuu habari ndio hiyo koma utadeki bahari wema huko juu hana jipya @penmondforlife
penmondforlife@pennywangu njoo kwa Hawa vinyago msukule
pennywangu@penmondforlife bby tulale waache wanga wa@wemasepetu wakeshe na upumbavu wao mijinga hiyo sisi teampenn tulale hao machizi nasseb wala hawataki wananuka mkojo na midomo kazi hawana walale
clarahcut3Jaman wema na diamond wana real love,hata msemeje watapendana 2, mi nngekuwa ww penny nngetoka na diamond kmyakmya coz adi aibu yan coz bado moyo wake upo kwa diamond, .we jogoo la kuchorwa tu kutwa hutag hudonoi upoupo 2,.huyo anawaste tme kwako 2 bt ukwel waujua in ur heart dat wema z da best than u and she runs diamond's heart
chrissmimiYani umenitibua vuzi wewe uliyesema lulu muhuaji alimuua babako kama huna chakuongea piga Kimya wewe yani UMUACHE MY ONR N ONLY@hotlulumichael Hivi unawashwa au unataka bwana HII NI PAGE YA DIMOND SIYO YA @wemasepetu wana malaya yeyote yule yani dada UMENITIBUA MASHETANI WEWW @mwatumu37@hotlulumichael Plzzz tafuta watu wakuwatukana mamayoooool @rosekassanda
mwatumu37Mbona hamlali mpaka saa hee na vitanda vya mauwa na malemba yenu ya kizee heee bora kunuka mkojo kuliko kuwamshamba lol utasoma no ya kiatu changu.weww lazima uwe muosha choo cha wema @pennywangu@penmondforlife
mercyqueenmqLove from uk
precious101naxySo much love from Australia ����������������
roshronHihihihihi nimpnd hy @mwatumu37
roshronShe cnt cmpr herself to ma lvly Davy@wemasepetu
mwatumu37Shetani ni wewe na ukoo wako mzima sasa kama page ya diamond wewe unakuwasha nn koma ukomae.hapo ulipo umehifadhiwa pua kama pumbu la baba yako @chrissmimi
chrissmimiWewe je kymmayo @mwatumu37 huna haya ujui vibaya mwanamke mzima unabwatukaa kama umepigwa muanzi wa mkundu mamayo nenda kaoshe CHIU ndo uingie humu@hotlulumichael @rosekassanda@esmaplatnum unashobokea watu hovyo mitusi inakiyoka kama ajuza wewe jiangalie mama
husseinchitemoBasi muulizeni diamond anafanya nini na penny Kama hampendi,,yeye mwenyewe alimuacha Huyo wema.kwani wema kashaachana na wangapi???*so Ni sishangai kuachana na diamond.nadhani ni muda wa kukubali kuwa hizi ni Zilipendwa...penny is the one who z running the show.nyie chambaneni,piganeni vijembe.hata Kama mnaumuona penny mshamba bt ndo kapendwa na diamond,,,Huyo wema mjanjaa lakini ndo hana Huyo diamond
dabbydabbyHahaha @husseinchitemo dole gumba mia mia broo

No comments:

Post a Comment