Blogger Widgets

October 28, 2013

Hatimae mshiriki wa BBA (Nigeria) Beverly akubali kuwahi kufanya mapenzi ndani ya jumba la Big Brother

Mara ya kwanza alipotoka katika shindano la BBA 2013, Beverly Osu, aliwashangaza watu baada ya kukataa kuwa hajafanya mapenzi na mshiriki kutoka SA, Angelo, licha ya kuwa karibu kila mtu aliona video ambayo ilisambaa kila kona.

Kwahivi sasa anatengeneza wimbo wake, na alipoulizwa kuhusu video hiyo hiki ndicho alichokisema: 

"sijiskii vibaya kwasababu i was being my self. kwahiyo siwezi kuomba msamaha kwa mtu yoyote anaehisi nilimuangusha. Wanaishi maisha yao nami naishi maisha yangu. Tofauti ni kuwa nilikuwa ndani ya lile jumba kuhakikisha mambo yangu yanenda sawa, mambo ambayo kila mmoja alikuwa akiyafurahia nikiyafanya. Kama mlikaa kwenye TV zeni kwa siku 91 ili tu kuona makosa yangu inabidi mjiangalie wenyewe kwasababu watu wana makosa yao na ni watu wenye makosa tu ndio wenye kugundua haraka makosa ya mtu mwingine. Sikosoi watu na sidhani kama watu wanatakiwa kunikosoa mimi, vyovyote utakavyoichukulia mimi bado ni kijana"

No comments:

Post a Comment