Mara ya kwanza alipotoka katika shindano la BBA 2013, Beverly Osu,
aliwashangaza watu baada ya kukataa kuwa hajafanya mapenzi na mshiriki
kutoka SA, Angelo, licha ya kuwa karibu kila mtu aliona video ambayo
ilisambaa kila kona.
"sijiskii vibaya kwasababu i was being my self. kwahiyo siwezi kuomba
msamaha kwa mtu yoyote anaehisi nilimuangusha. Wanaishi maisha yao nami
naishi maisha yangu. Tofauti ni kuwa nilikuwa ndani ya lile jumba
kuhakikisha mambo yangu yanenda sawa, mambo ambayo kila mmoja alikuwa
akiyafurahia nikiyafanya. Kama mlikaa kwenye TV zeni kwa siku 91 ili tu
kuona makosa yangu inabidi mjiangalie wenyewe kwasababu watu wana makosa
yao na ni watu wenye makosa tu ndio wenye kugundua haraka makosa ya mtu
mwingine. Sikosoi watu na sidhani kama watu wanatakiwa kunikosoa mimi,
vyovyote utakavyoichukulia mimi bado ni kijana"
No comments:
Post a Comment