Msanii wa muziki nchini Lucas Mkenda aka Mr. Nice amepata
shavu jipya la kufanya filamu na kampuni ya VAD Film Production
yenye makazi yake nchini Denmark.
Mr Nice akifanyiwa mahojiano.
VAD Film Production iliyomchukuwa Mr Nice kwaajili ya kufanya filamu ni kampuni ya kiafrika maarufu kwa ajili ya waafrika wanaoishi nchini Denmark wakiwa wamejikita katika utengenezaji wa filamu kwa kutumia lugha ya Kiswahili.
Mr Nice akiwa nchini Denmark
Mr Nice akifanyiwa mahojiano.
VAD Film Production iliyomchukuwa Mr Nice kwaajili ya kufanya filamu ni kampuni ya kiafrika maarufu kwa ajili ya waafrika wanaoishi nchini Denmark wakiwa wamejikita katika utengenezaji wa filamu kwa kutumia lugha ya Kiswahili.
Mr Nice akiwa nchini Denmark
Mr. Nice (kulia).
Mwanamuziki aliyevuma sana kipindi cha nyuma Mr. Nice amealikwa
kufanya filamu mpya na kampuni ya VAD production iliyopo nchini Denmark
inayomilikiwa na mtanzania anayeishi nchini humo Mr. Babingwa.Katika
mwaliko huo Mr. Mr nice alipatanafasi ya kufanya mahojiano na mtangazaji wa Swahili talk radio ya nchini humo.
No comments:
Post a Comment