Hapa Baunsa huyo akiwa na Diamond baada ya kumzuia asiende nchini Ungereza kwa mshahara wa shilingi laki tano kwa wiki huku kwa siku pia akichukua posho ndefu. pamoja na kula vinono na mshua wake.
February 6, 2014
Mtazame Baunsa Analipwa Na Msanii Diamond Platnum Laki Tano kwa Week na Kuzuiliwa kumlinda Msanii wa Nigeria Alieimba Nyimbo ya Ozonto
Hapa Baunsa huyo akiwa na Diamond baada ya kumzuia asiende nchini Ungereza kwa mshahara wa shilingi laki tano kwa wiki huku kwa siku pia akichukua posho ndefu. pamoja na kula vinono na mshua wake.
No comments:
Post a Comment