Picha ya Aibu Aliyoweka Mtangazaji Loveness Love wa Clouds FM na Kupata Diss Kibao
Baada ya mtangazaji wa
clouds FM Loveness Malinzi (Diva) kuweka picha isiyokuwa na maadili
mtandaoni, mashabiki wake wachukia na kuanza kumpa makavu laivu na
matusi kwa kitendo alichokifanya mwanadada huyu mwenye sauti ya mitego Hii ndiyo picha aliyoiweka mtandaoni
No comments:
Post a Comment