MSANII kinda kwenye tasnia ya filamu Bongo, Rahma Bagenzi ‘Rayuu’
amesema kuwa, kamwe hatokoma kutembea na waume za watu kwa kuwa sheria
ya dini yake ya Kiislamu inamruhusu kuolewa na mume wa mtu.
Akipiga stori na paparazi wetu, Rayuu alisema kipindi cha nyuma aliwahi kutoka kimapenzi na mume wa mtu (hakumtaja jina) na kufikia hatua ya kufikishwa polisi na mwenye mke lakini haimaanishi kuwa hatatembea tena na mume wa mtu.
Akipiga stori na paparazi wetu, Rayuu alisema kipindi cha nyuma aliwahi kutoka kimapenzi na mume wa mtu (hakumtaja jina) na kufikia hatua ya kufikishwa polisi na mwenye mke lakini haimaanishi kuwa hatatembea tena na mume wa mtu.
No comments:
Post a Comment