Tazama Picha:tukio litalofanywa kwa Pamoja Monalisa, Lulu, Joti Na Richie Kuwa Majaji Wa Tanzania Movie Talent !
Monalisa, Joti, Elizabeth Michael "Lulu" na Single Mtambalike "Richie"
kuwa majaji wa Tanzania Movie Talent(TMT) inayotarajiwa kuanza kufanyika
mwezi April katika mikoa mbalimbali nchini !. Well... kupitia mtandao
mmoja wa kijamii Lulu ameweka picha hiyo hapo juu akionekana na kina
Monalisa na kuandika "Kikazi zaidi...!kwa ww mwenye kupaji cha kuigiza kaa tayari...!TANZANIA MOVIE TALENTS...!#comingsoon"
No comments:
Post a Comment