Mwili wa Adam Kuambiana ukiandaliwa tayari kwa kuagwa nyumbani kwake Bunju B jioni hii.
Waombolezaji
wakiwa msibani tayari kuaga mwili. Wa tatu kutoka kulia waliokaa mbele
ni mke wa marehemu Janeth Rithe ambaye ni Diwani Kata ya Kunduchi, Dar.
Watangazaji Sauda Mwilima (kulia) na Zamaradi Mketema (kati) wakiwa msibani hapo. Kushoto ni msanii Shamsa Ford.
William Mtitu (katikati) akiwa na waombolezaji.
Ibada ya kumuombea marehemu ikiendelea.
Mwili wa marehemu Adam Kuambiana ukitolewa kwa ajili ya kuagwa.
Baadhi ya wasanii baada ya kuwasili Bunju B.
Mwili wa marehemu ukishushwa kutoka kwenye gari Bunju B.
MWILI wa mwongozaji na mwigizaji wa filamu Bongo, Adam Kuambiana
umeagwa nyumbani kwake Bunju B, Dar ambapo ndugu, jamaa, wanasiasa,
marafiki wameshiriki tukio hilo. Kesho asubuhi mwili utapelekwa Viwanja
vya Leaders kuagwa na baadaye kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni
jijini Dar.
Shughuli ya kuaga mwili wa aliekuwa muigizaji na muongozaji wa filamu hapa nchini, vilifanyika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.
Marehemu kuambianaa amekuzikwa jana kwenye Makaburi ya Kinondoni hapa hapa jijini Dar.
»
Mashada yakiwa tayari juu ya kaburi la marehemu Adam Philip Kuambiana, muda mfupi baada ya shughuli za maziko kukamilika.
Mchungaji akiweka msalaba kwenye kaburi.
Mke wa marehemu Janeth Rithe ambaye ni Diwani Kata ya Kunduchi (Chadema), akiweka shada la maua kwenye kaburi la mumewe.
Mkurugenzi Mkuu wa Global Publishers Ltd, Eric James Shigongo akitoa salamu za mwisho kwenye mwili wa marehemu Adamu Kuambiana.
Mtangazaji wa Kipindi cha Jahazi kinachorushwa na Clouds FM, Ephraim Kibonde akipita kuaga mwili wa marehemu Kuambiana.
No comments:
Post a Comment