Huku
akiwa anasuburia kunyakuwa tuzo za MTV zinazotarajiwa kufanyika tarehe 7
june, Diamond amechaguliwa kuwania tuzo za BET katika category ya "Best
International Act (Africa)
Diamond
anachuwana na mwanadada Tiwa Savage (Nigeria), Davido (Nigeria),
Mafikizolo (South Africa), TOOFAN (Togo) na Sarkodie (Ghana)
Diamond anasema hakutarajia kabisa kama angechaguliwa katika tuzo hizo kwasababu hajawahi kuwasiliana nao hata siku moja. Akiongea
kutoka London amesema wakati yuko set akiendelea na ku record video
yake mpya, manager wake Babu Tale ndio alimwambia amechaguliwa BET ila
akadhani ni utani , ila baada ya kuona tweets nyingi za mashabiki ndio
akaamini.Click Hapa Kumpigia Kura Diamond PLATNUM
No comments:
Post a Comment