Huu Ndio muonekano Mpya wa Benny Kinyaiya Baada ya Kuhama EATV na sas akiwa Clouds Tv
Heey
FUN'z, im officially announce kwamba now nimehamia CLOUD's TV, so
uskose kunichec kwenye kipindi changu kuanzia Jumamosi hii usiku saa
8:05pm uone zile 'FUJO' zangu Luningani kama kawa, Lee gooooo...